Mdada usikubali hizi swaga za kwamba tutafute maisha pamoja. Mpaka mkayapate maisha utakuwa umechakaa, mwanaume ataoa kabinti ka darasa la saba

Mdada usikubali hizi swaga za kwamba tutafute maisha pamoja. Mpaka mkayapate maisha utakuwa umechakaa, mwanaume ataoa kabinti ka darasa la saba

Mwanamke ni kama ua, lisipotunzwa linapoteza mvuto kabisa. Hivyo usidanganyike kuolewa na mchovu akaanza kukulaza chini kwenye mkeka, mnakaa sakafuni, mnapikia kuni au jiko la mkaa mpk kucha zinajaa masizi.

Saloon unakuwa unazipita tu kama kituo cha polisi maana wewe nywele husuki bali unakata kama shamba boy. Na hukumbuki mara ya mwisho ulienda shopping mwaka gani.

Mafuta unajipaka ya kupikia mpk ukipita mtaani unafuatwa na mbwa wakidhani wewe ni kitoweo.

Ukicheza miaka yako 5 tu ktk mzunguko huu wa umaskini uliomaliza nao shule watakupiga shikamoo, maana utakuwa umefubaa, umechakaa na kuchoka. Sasa mpk mkayapate maisha miaka 10 au 15 utakuwaje??

Mkishayapata maisha mumeo lazima jicho lake litahamia kwa ving'asti ambao kucha zao hazijaathiriwa na mkaa. Sura zao zimetunzwa vema na lotion za Uturuki.

Hebu tafuteni wanaume wenye nazo ufikie kwenye maisha fulani ambayo hayatakufubaza. Achana na wenye subwoofer moja chumba kimoja cha kupanga halafu anataka ndoa na wewe.

Ni ushauri tu. Kama hutaki acha
Mdangaji katika ubora wake.

Wake zetu Wamasai nywele wananyoa na wanavaa Kaniki.
 
Yupo Mwanamke ambae nilikua nampenda , nikamwambia tuanzie chini....akaniona sifai....akaanza kuwatafuta wenye nazo.

Now ni single maza....ana ngoma na cancer juu....

Note: Hakuna mjanja awezaye kushindana na SHERIA ya asili pamoja muda. Mungu fundi!!
hayo matatizo aliyo nayo hayajasababishwa na kukukataa wewe
 
Yupo Mwanamke ambae nilikua nampenda , nikamwambia tuanzie chini....akaniona sifai....akaanza kuwatafuta wenye nazo.

Now ni single maza....ana ngoma na cancer juu....

Note: Hakuna mjanja awezaye kushindana na SHERIA ya asili pamoja muda. Mungu fundi!!
Unajifariji tu,hakikuwa na garantee ya yeye kuwa na good life bila wewe, isitoshe alikuwa na haki ya kukukataa manake hukuwa na vigezo vyake kwa wakati huo🙏
 
Nyie wanawake mliokwisha thamani mnapenda sana kudanganya wenzenu nao wazeeke bila watoto au ndoa, mnapenda kuona wanawake wenzenu wanaishia kujiita singo maza...
Hapo ulipo umeingia menopause na huna mategemeo ya kuolewa tena... Imeisha hiyo weee endelea kujiita dungaembe muda umekuacha, waache wanawake wenzio wenye akili wainjoi maisha na wanaume zao...
 
Unajifariji tu,hakikuwa na garantee ya yeye kuwa na good life bila wewe, isitoshe alikuwa na haki ya kukukataa manake hukuwa na vigezo vyake kwa wakati huo[emoji120]
Sasa mbona mpaka sasa hajampata Mwenye hela? Maisha ya kudanga...KILA kukicha kushinda hospital kusafishwa kidonda Ndugu...

Afu kuna wanaume wengine huwa siwaelewi kabisa....

Unawezaje kutembea na Mwanamke mwenye kidonda kikubwa namna ile? Au yale Matako yanawazuzua? Daah hatari sana!!!
 
Nyie wanawake mliokwisha thamani mnapenda sana kudanganya wenzenu nao wazeeke bila watoto au ndoa, mnapenda kuona wanawake wenzenu wanaishia kujiita singo maza...
Hapo ulipo umeingia menopause na huna mategemeo ya kuolewa tena... Imeisha hiyo weee endelea kujiita dungaembe muda umekuacha, waache wanawake wenzio wenye akili wainjoi maisha na wanaume zao...
🤣🤣Vipi blaza mbona umekuja kasi ukimuattack mleta mada?
Hahahah nawe ndo unajitafuta nn?life bado halijasoma?🤣🤣🤣🤣
 
Sasa mbona mpaka sasa hajampata Mwenye hela? Maisha ya kudanga...KILA kukicha kushinda hospital kusafishwa kidonda Ndugu...

Afu kuna wanaume wengine huwa siwaelewi kabisa....

Unawezaje kutembea na Mwanamke mwenye kidonda kikubwa namna ile? Au yale Matako yanawazuzua? Daah hatari sana!!!
Wewe hapo una hela?tuanzie hapo 🤣
 
Mwanamke ni kama ua, lisipotunzwa linapoteza mvuto kabisa. Hivyo usidanganyike kuolewa na mchovu akaanza kukulaza chini kwenye mkeka, mnakaa sakafuni, mnapikia kuni au jiko la mkaa mpk kucha zinajaa masizi.

Saloon unakuwa unazipita tu kama kituo cha polisi maana wewe nywele husuki bali unakata kama shamba boy. Na hukumbuki mara ya mwisho ulienda shopping mwaka gani.

Mafuta unajipaka ya kupikia mpk ukipita mtaani unafuatwa na mbwa wakidhani wewe ni kitoweo.

Ukicheza miaka yako 5 tu ktk mzunguko huu wa umaskini uliomaliza nao shule watakupiga shikamoo, maana utakuwa umefubaa, umechakaa na kuchoka. Sasa mpk mkayapate maisha miaka 10 au 15 utakuwaje??

Mkishayapata maisha mumeo lazima jicho lake litahamia kwa ving'asti ambao kucha zao hazijaathiriwa na mkaa. Sura zao zimetunzwa vema na lotion za Uturuki.

Hebu tafuteni wanaume wenye nazo ufikie kwenye maisha fulani ambayo hayatakufubaza. Achana na wenye subwoofer moja chumba kimoja cha kupanga halafu anataka ndoa na wewe.

Ni ushauri tu. Kama hutaki acha
Tatizo wenye nazo nao hatupendi wanawake wa hovyo na masikini
 
Yupo Mwanamke ambae nilikua nampenda , nikamwambia tuanzie chini....akaniona sifai....akaanza kuwatafuta wenye nazo.

Now ni single maza....ana ngoma na cancer juu....

Note: Hakuna mjanja awezaye kushindana na SHERIA ya asili pamoja muda. Mungu fundi!!
Siyo kwasabb alikukukataa wewe. Usijipe umungu. Kwani wewe ni nani?

Ni majaliwa yake Mungui, aliandikiwa hivyo.
 
Back
Top Bottom