MDAHALO CHADEMA: Matokeo Team Mbowe vs Team Lissu

MDAHALO CHADEMA: Matokeo Team Mbowe vs Team Lissu

Timu gani imefanya vizuri kwenye Mdahalo

  • Team Mbowe

  • Team Lissu


Results are only viewable after voting.

Even MOre

JF-Expert Member
Joined
May 6, 2023
Posts
204
Reaction score
298
Kwa walio fuatilia mdahalo huu ambao umetamatika usiku huu, binafsi haya ndiyo niliyofaelewa kutoka kwa wawakilishi wa wagombea wa nafasi ya Uenyekiti Chadema Taifa.

1. Wawakilishi Team Mbowe ambao ni Yeriko Nyerere na Emanuel Ntobi kwa upande wao nimeona wanapigania uwepo wa Mbowe tu katika Uongozi wa Mwenyekiti Chadema Taifa na si mtu mwingine kwa michanganuo ya majibu yao.

2. Wawakilishi wa Team Lisu ambao ni Gervas Lyenda na Gwamaka ambao wamesisitiza mara kadhaa katika majibu yao kuwa wanahitaji kiongozi atakae jenga Taasisi imara ya Chamakitakachoweza kujisimamia Kisiasa, Kiuchumi na Kijamii pamsipo kutegemea uwepo wa mtu mmjoa kwenye chama aweze kuendesha chama.

Kwa walio ng'amua zaidi, Comment yako muhimu
 
Kwa walio fuatilia mdahalo huu ambao umetamatika usiku huu, binafsi haya ndiyo niliyofaelewa kutoka kwa wawakilishi wa wagombea wa nafasi ya Uenyekiti Chadema Taifa.

1. Wawakilishi Team Mbowe ambao ni Yeriko Nyerere na Emanuel Ntobi kwa upande wao nimeona wanapigania uwepo wa Mbowe tu katika Uongozi wa Mwenyekiti Chadema Taifa na si mtu mwingine kwa michanganuo ya majibu yao.

2. Wawakilishi wa Team Lisu ambao ni Gervas Lyenda na Gwamaka ambao wamesisitiza mara kadhaa katika majibu yao kuwa wanahitaji kiongozi atakae jenga Taasisi imara ya Chamakitakachoweza kujisimamia Kisiasa, Kiuchumi na Kijamii pamsipo kutegemea uwepo wa mtu mmjoa kwenye chama aweze kuendesha chama.

Kwa walio ng'amua zaidi, Comment yako muhimu
Team lissu Wako vizuri kama lissu mwenyewe, wanajenga hoja vizuri.Team mbowe hawana kitu zaidi ya maneno ya kuokoteza, nime mwona Ntobi na Nyerere ni shida Yaani dah
 
Odemba: Je endapo Mbowe atachaguliwa kuwa mwenyekiti utamuunga mkono??

Gwamaka:
Kama atashinda kihalali nitamuunga mkono.
Lyenda: Ndio nitamuunga mkono

Odemba: Je endapo Lisu atachaguliwa kuwa mwenyekiti utamuunga mkono??

Yericko:
Hawezi kushinda yule
Ntobi: Itakuwa ngumu Lisu kushinda, ila akishinda nitamuunga mkono.
 
Team lisu ni vichwa balaaa wale wanazo hoja,nashauri mboe abadilishe team haraka sana iwezekanavyo aachane na hawa mtombi na yeriko wanapayukqpayuka tu hamna kila kitu mle
Mkuu kila mtu huchagua wanaeendana nae kimantiki
 
Back
Top Bottom