MDAHALO CHADEMA: Matokeo Team Mbowe vs Team Lissu

MDAHALO CHADEMA: Matokeo Team Mbowe vs Team Lissu

Timu gani imefanya vizuri kwenye Mdahalo

  • Team Mbowe

  • Team Lissu


Results are only viewable after voting.
Kwa walio fuatilia mdahalo huu ambao umetamatika usiku huu, binafsi haya ndiyo niliyofaelewa kutoka kwa wawakilishi wa wagombea wa nafasi ya Uenyekiti Chadema Taifa.

1. Wawakilishi Team Mbowe ambao ni Yeriko Nyerere na Emanuel Ntobi kwa upande wao nimeona wanapigania uwepo wa Mbowe tu katika Uongozi wa Mwenyekiti Chadema Taifa na si mtu mwingine kwa michanganuo ya majibu yao.

2. Wawakilishi wa Team Lisu ambao ni Gervas Lyenda na Gwamaka ambao wamesisitiza mara kadhaa katika majibu yao kuwa wanahitaji kiongozi atakae jenga Taasisi imara ya Chamakitakachoweza kujisimamia Kisiasa, Kiuchumi na Kijamii pamsipo kutegemea uwepo wa mtu mmjoa kwenye chama aweze kuendesha chama.

Kwa walio ng'amua zaidi, Comment yako muhimu
Kwa sasa CHADEMA inamuhitaji sana LISSU kuliko MBOWE a.k.a Museveni
 
Odemba: Je endapo Mbowe atachaguliwa kuwa mwenyekiti utamuunga mkono??

Gwamaka:
Kama atashinda kihalali nitamuunga mkono.
Lyenda: Ndio nitamuunga mkono

Odemba: Je Lisu endapo Lisu atachaguliwa kuwa mwenyekiti utamuunga mkono??

Yericko:
Hawezi kushinda yule
Ntobi: Itakuwa ngumu Lisu kushinda, ila akishinda nitamuunga mkono.
Hapo ndo utajua mwenye akili na mjinga tofauti ya majibu huwa yakoje 😁
 
Ndio kwa upande wangu sababu kina watu wenye uwezo Kiuongozi japo nia thabiti ya wachache wenye njaa ndo inakwamisha mchakato na kuonekana wote hawafai.
We unaona hiko chama knapaswa kuongiza Nchi?! Be honestly with your heart!
 
Sikupata kujua Yericko ni kilaza kiasi hiki! Mbona aibu nasikia mimi?
Kwako mheshimiwa Mbowe kama umeusikiliza mdahalo wa leo nadhani utagundua kuwa hata kwa yote uliyofanya wafuasi wa Lissu wanakuheshimu na kukuthamini, lakini hizo taka ngumu yaani Yericko, Ntobi na wenzao wanakuunga mkono ili wakuchune ni matapeli hao. Na leo wamekupotezea kura nyingi sana kwa kuropoka kwao.
It's time ufanye maamuzi magumu ili utakapo umaliza mwendo uende hapa duniani usindikizwe kishujaa kama kina Martin Luther King au kina Nelson Mandela maana umeondoka madarakani ukipendwa na Watanzania na sio wahuni kama Yericko nk.
 
Ndio kwa upande wangu sababu kina watu wenye uwezo Kiuongozi japo nia thabiti ya wachache wenye njaa ndo inakwamisha mchakato na kuonekana wote hawafai.
Nitajie viongozi kumi tu wa kueleweka walioko huko!!!!
 
Kwa walio fuatilia mdahalo huu ambao umetamatika usiku huu, binafsi haya ndiyo niliyofaelewa kutoka kwa wawakilishi wa wagombea wa nafasi ya Uenyekiti Chadema Taifa.

1. Wawakilishi Team Mbowe ambao ni Yeriko Nyerere na Emanuel Ntobi kwa upande wao nimeona wanapigania uwepo wa Mbowe tu katika Uongozi wa Mwenyekiti Chadema Taifa na si mtu mwingine kwa michanganuo ya majibu yao.

2. Wawakilishi wa Team Lisu ambao ni Gervas Lyenda na Gwamaka ambao wamesisitiza mara kadhaa katika majibu yao kuwa wanahitaji kiongozi atakae jenga Taasisi imara ya Chamakitakachoweza kujisimamia Kisiasa, Kiuchumi na Kijamii pamsipo kutegemea uwepo wa mtu mmjoa kwenye chama aweze kuendesha chama.

Kwa walio ng'amua zaidi, Comment yako muhimu
Yeriko, Ntobi kama ndo think tank ya Mbowe kazi ipo, hamna kitu pale
 
20250103_085515.jpg
 
Odemba: Je endapo Mbowe atachaguliwa kuwa mwenyekiti utamuunga mkono??

Gwamaka:
Kama atashinda kihalali nitamuunga mkono.
Lyenda: Ndio nitamuunga mkono

Odemba: Je Lisu endapo Lisu atachaguliwa kuwa mwenyekiti utamuunga mkono??

Yericko:
Hawezi kushinda yule
Ntobi: Itakuwa ngumu Lisu kushinda, ila akishinda nitamuunga mkono.
Loh! Kumbe Ntobi na Yeriko ni vichwa maboga. Hawana uwezo wa kuelewa hata swali.
 
Kwamba maridhiano yalifanikisha Lissu kurudishiwa uwakili wake
 
Kwa walio fuatilia mdahalo huu ambao umetamatika usiku huu, binafsi haya ndiyo niliyofaelewa kutoka kwa wawakilishi wa wagombea wa nafasi ya Uenyekiti Chadema Taifa.

1. Wawakilishi Team Mbowe ambao ni Yeriko Nyerere na Emanuel Ntobi kwa upande wao nimeona wanapigania uwepo wa Mbowe tu katika Uongozi wa Mwenyekiti Chadema Taifa na si mtu mwingine kwa michanganuo ya majibu yao.

2. Wawakilishi wa Team Lisu ambao ni Gervas Lyenda na Gwamaka ambao wamesisitiza mara kadhaa katika majibu yao kuwa wanahitaji kiongozi atakae jenga Taasisi imara ya Chamakitakachoweza kujisimamia Kisiasa, Kiuchumi na Kijamii pamsipo kutegemea uwepo wa mtu mmjoa kwenye chama aweze kuendesha chama.

Kwa walio ng'amua zaidi, Comment yako muhimu
Team Mbowe wanasisitiza kwamba Mwenyekiti awe na uwezo wa Kifedha, Mbangaizaji hapana!!!! 😳
 
Back
Top Bottom