Pre GE2025 MDAHALO: Freeman Mbowe amekacha, Tundu Lissu na Odero Charles Odero kushiriki

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Watu kama hao inahitaji ujiandae ndio ufanye nao mahojiano au mdahalo check hapo bi mkubwa Margaret Wanjiru alilazwa na viatu.


View: https://youtu.be/8ocdR5IFgVY?si=9o_LdItqS2bQ_XA3
 
Ni utamaduni wa maccm kukacha midahalo
CCM tuna matawi kila mtaa na kila kijiji nchinnxina mdahalo wa nini

Sisi hatuongei maneno tunawaambia wapiga kura angalieni maendeleo tuliyofanya maeneo yenu

Sasa tuende mdahalo kuongea na Lisu ambaye hajafanya maendeleo yeyote kwenye nchi
Hata Mbowe yuko sahihi kutoenda wapiga kura wanamwelewa na ni kipindi cha lala salama kabla ya uchaguxi hana sababu ya kujichosha
 
Eeeeeeeh

Mwaka huu mashabiki aka wanachama aka eafaga mikumbo

Hao watawachezesha danadana hadi mjue mjue tu
🀣🀣🀣🀣🀣

Na badooooooo

Viongozi wenu wanajua drama sanaaaaaa
 
Mbowe mambo kama haya ya kuvuliwa nguo hadharani hayapendi, yeye anataka afuatwe nyumbani kwake na waandishi ambao anawagharamia na kuwalipa posho kisha kuwapangia Maswali gani aulizwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…