Mdahalo wa Katiba (UDASA) kupitia Star TV - Agosti 3, 2014

watu wakiacha magari yao wakitumia ya umma nae nongwa du!!!!
 
mdahalo huo wamejiandalia chama Fulani ndio maana tbc nao wanarusha hauna tofauti na mkutano ule uliofanyika mwanza wiki iliyopita
 

Big up mkuu, ndo uzuri wa JF watu wana data za kutosha, yamkini kishalambishwa huyo, kuna wachumia tumbo wengi ndugu yangu.
 
Mzee Mangula naye yupo baada ya kurudishwa mjini kutoka kwenye kilimo cha nyanya Iringa.
 
Kumbe hata prof Tibaijuka amehuzuria kupigia makofi maneno yasiyo na hoja

This is very very wonderful .........indeed this is wounderful.....
 
Tunashukuru mulio eneo la tukio kwa kutupatia Habari na Sisi tulio mbali.........yote ya yote naomba busara zitawale.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…