Mdahalo wa Katiba (UDASA) kupitia Star TV - Agosti 3, 2014

Mdahalo wa Katiba (UDASA) kupitia Star TV - Agosti 3, 2014

Hivi wasira bado yupo kwenye makazi ya watu?hajaenda msituni kuishi na binadamu wenzake wakale?
 
Dr Kitila Mkumbo tunamjua ni ACT, asije akatuharibia MDAHALO maana hachelewi kuegemea kwa MAGAMBA...
 
Mwana UKAWA na wakili msomi Kamanda Mh.Tundu Lissu atakuwa live Star Tv kuanzia saa 8 katika mdahalo wa katiba uliondaliwa na UDASA.

Atakuwepo pia Dr. Kitila kama mwana UDASA na upande wa CCM atakuwepo Mh. Wassira.

My Take:
Wazalendo jitokezeni kumuunga mkono Tundu Lissu na wazalendo wengine

Unamaanisha saa nane mchana au saa mbili asubuhi?
 
Mkuu kuna watu wanakera sana..badala ya kutulia tupate mawazo ya wazungumzaji wao wanabaki kupiga mikelele ya kuzomea...unajua kwenye mdahalo inabidi watu washindane kwa hoja mwishowe wananchi nao watapima kulingana na hoja zinazotolewa..ila watu wanaleta ushabiki wa vyama mwishowe wanaanzisha kelele zisizo na faida.


Mnyukano wa hoja hupelekea watazamaji na washabiki either kushngilia au kuzomea.

ukiona watu wanshangilia kinyume chake pia chawezekana yaani kuzomea

Demokrasia ya kweli hailengi mwelekeo mmoja lazima misigano mbwembwe na majaribu viwepo.

Siasa nikama mambo mengine yoyote, kuna wapenzi na washabiki,

-ili hoja ionekane imeshinda/imekubalika hushangiliwa

-ilihoja ionekane imeshindwa/haikubaliki huzomewa

Mkuu barabara ya demokrasia inamabonde, tope mitaro nk tuvumiliane ndugu yangu ndo utandawazi huo.
 
Nitajitahidi kuweka updates kadiri ya uwezo wangu stay tuned.
 
wadai kuanzia muda wowote mdahalo ulioandaliwa na udasa utaanza na
unarushwa na star tv wasemaji wakuu ni mh lissu na wasira ccm wamemwaga mamuluki wa kutosha kuna UDA kama tano hivi tayari Mwigulu lukuvi na pro tibaijuka
 
Tayari nimeshweka simu yangu tayari kuweka mambo sawa.

Naomba mods wanisaidie kupandisha updates.
 
Dah!!! Naona dalili mbaya sana kwenye mdahalo huu... Zomeazmea naiona costa 4 zmeshusha watu cjui wamtka mkoan au laah
 
Leo Lissu atajuta kupotosha!
 
Wakuu tupo pamoja,one love Kamanda Walas Ba,nakuachia usukani,after half an hour nitakuja kukupa kamapan
 
Back
Top Bottom