lissu ni jembe huwezi amini,wasira hajui siasa bali ni jazba tu.hawa wazee sujui wanasubiri nini kustaafu?wanabana nafasi za watu tu
Mbona babu slaa hastaafu???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
lissu ni jembe huwezi amini,wasira hajui siasa bali ni jazba tu.hawa wazee sujui wanasubiri nini kustaafu?wanabana nafasi za watu tu
wadai kuanzia muda wowote mdahalo ulioandaliwa na udasa utaanza na
unarushwa na star tv wasemaji wakuu ni mh lissu na wasira ccm wamemwaga mamuluki wa kutosha kuna UDA kama tano hivi tayari Mwigulu lukuvi na pro tibaijuka
Leo Lissu atajuta kupotosha!
Leo Lissu atajuta kupotosha!
wadai kuanzia muda wowote mdahalo ulioandaliwa na udasa utaanza na
unarushwa na star tv wasemaji wakuu ni mh lissu na wasira ccm wamemwaga mamuluki wa kutosha kuna UDA kama tano hivi tayari Mwigulu lukuvi na pro tibaijuka
huu ni mdahalo wa ccm
ukumbi umejaa watu wastaarabu, wasira kala kona.
Ni kawaida kwa mikutano ya ccm bila kukodi fuso za kubeba watu ba buku 5 kila mmoja huwa hakuna mkutanowadai kuanzia muda wowote mdahalo ulioandaliwa na udasa utaanza na
unarushwa na star tv wasemaji wakuu ni mh lissu na wasira ccm wamemwaga mamuluki wa kutosha kuna UDA kama tano hivi tayari Mwigulu lukuvi na pro tibaijuka