Mdahalo wa Katiba (UDASA) kupitia Star TV - Agosti 3, 2014

Mdahalo wa Katiba (UDASA) kupitia Star TV - Agosti 3, 2014

Yaani wanapiga kelele kama mazuzu badala ya kusikiliza mjadala na kujenga hoja.
 
naona mwenyekiti anampa nafasi Mwigulu kujibu hoja,huu ni ujinga.sikilizeni pumba,msizibe masikio,na washangiliaji wapo tayari
 
Acha tu tuendelee kukataa mabadiliko, Msumbiji 1 - 0 Taifa Stars na wote tunaendelea kuona ni sawa tu eti hataki kubadilika!



Si lile li-TV TBC nila ccm hata mpira ambao nikiunganishi cha watanzania hawataki, ikitokea Nape na kinana TBC haooo

namakamera yao kutuonesha uchama.
 
yaani nashangaa sana kuona wanafunzi wanaojiita wasomi wa chuo kikuu wakifanya ujinga kwa mdahalo unaoendelea udsm .

Wanafanya ushabaki na kuzomea kama watoto wa darasa la kwanza , hakuna maelewano,wanachokifanya,hawna hoja wanabaki kuzomea .
Kweli mwanafunzi ni mwanafunzi tu ,wote wana tabia za kitoto,hata uwe mwnanafunzi wa chuo kikuu.

Hakuna wanachokifanya hapo ,hawafikii kuonyeshea muafaka wowote bali ni yale yale tu ushabaki kama yanayoendelea kwenye bunge la katiba.

Ni bora wabunge wa bunge la katiba kuliko wanafunzi wanajiita wasomi wa chuo kikuu.


shame on you.

Hawastahili kabisa kuitwa wasomi.
 
Duh! omujubi na Deo Corleone mbona mnatuchanganya?,tuko huku ili tushushe presha za huko mpirani,anyway asanteni kwa taarifa.
 
Last edited by a moderator:
picha tafadhali, matusi ya nini unadahalilisha jukwaa.

Unajidhalilisha mwenyewe mkuu, jitahidi kuangalia taarifa ya habari au usome magazeti hata ya leo, hilo liko wazi.
 
Mnaomuelewa mwigulu mtanifafanulia...
 
Haya ss Mwigulu katoboa kuwa maccm walikuwa na msimamo.
Ss wanamsema Warioba vibaya kwanini?
CCM imeisha wameanza kukiri.
 
Kitila kauliza juu ya ccm kukubaliana na hoja ya selkari 3 then iboreshwe.
Hapa Mwigulu atapiga porojo halafu swali hatajibu
 
Mwigulu lazima ateme pumba
Anakiri kuwa ni kweli tumekwama kwenye mchakato sasa mbona ni mmoja wa wanaoenda Dodoma jumanne kendelea na bunge, kujadili rasimu au mkwamo!?
 
ni makada wa ccm waliosombwa na mabasi ya uda kwenda nkrumah!
 
Back
Top Bottom