Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kazi ipo hatuzungumzi katiba tuitakayo badala yake tunajadili namna ya kuipata hio katiba..
jamani mjadala mada ni katiba tuitakao...mbona kazi ipo.....mwisho tutapata katiba bomu....hawa wasomi hawajui wanacho kifanya wao ni wasomi au jembe kama wanavompenda lakini hakuna maoni anayosema...
huyu jamaa anayeishi New York ni mburura kweli badala ya kujadili hoja yeye anamjadili Lissu
wako bize na ndovu!
huyu jamaa anayeishi New York ni mburura kweli badala ya kujadili hoja yeye anamjadili Lissu
hawana hoja mkuu sasa wataongea nini waeleweke, mbaya zaidi watakuwa attacked na maswali from audience!
Mbona Mama Kairuki simuoni?
Huwezi kuwa mpinzani bubu bila kumtaja mpinzani wakojamaa huyo wa new york ni tractor...na sio jembe....lisu...
ameongea points kabisa i like that guy....amesema kweli wanasiasa watanzania ni wachanga hawajakomaa wanajadili kikwete na ccm wakati kinachotakiwa kujadiliwa ni katiba
Mwakilishi wa serekali Anjela Kairuki hajafika kwa sababu zisizo zuilika
Amemfanyia kitu mbaya yule bwe.ge aliyejifanya ametoka Marekani....anachungulia kwenye tv kama wewe mkuu TL noma wewe