Pre GE2025 Mdahalo wa Makatibu Wakuu wa Vyama vya Siasa: Nchimbi kaingia mitini, wengine wagoma kushiriki!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwa maana hiyo Rais Samia asiitwe Rais kwasababu kwa hadhi ya Urais halingani na Rais wa Marekani, Uchina na nchi zingine zilizojuu ya Tanzania kimaendeleo?
 
A
Nasema hivi, nimecheka kwa nguvu vibaya. Hayo ndio madhara ya kufanya siasa za kutegemea mbeleko za vyombo vya dola, mkiitwa sehemu isiyo na mbeleko ya vyombo vya lazima mkimbie. Nani ana muda wa kufuatilia mkutano wa chama cha majizi, yaani watu wafuatilie mkutano wa kupanga watu kutekwa!
 
Kutoshiriki pia ni mbinu kujua mawazo ya wengine.

Nchimbi hajakimbia mmekurupuka kusema amekimbia ilihali anaandaa vikao vya chama .. muda upo anaweza kupanga wakati mwingine baada ya kamati kuu akashiriki mdahalo

Nyie ongeeni tu tunawasikiliza
 
Kwanini Nchimbi hakuwakilishwa na Lucas Mwashambwa na Tlaatlaah ? Hawa jamaa ni ma genius!
for sure ningeomba udhuru w kutoshiriki hicho kihoja kisicho na maana yoyote tena kwa wanaoitwa eti makatibu wakuu ambao ninajua fika they are pure shadow SGs,


kwenye hili mbobevu nisingeweza kabisa kumkubalia katibu Mkuu makini sana wa CCM, na kwakweli ningemshauri afutilie mbali wito huo kwenye ratiba za CCM, apuuzilie mbali mdahalo huo, kwani hauna tija wala afya kwa hadhi na siasa za Chama Cha Mapinduzi πŸ’
 
Naangalia mdahalo ila naona Mrangazaji kama anatoa machozi kwa kukosekana makatibu wakuu chanzo kikitajwa kuwa ni kutofika kwa Katibu Mkuu wa CCM, Dr. Emmanuel Nchimbi.

Inasikitisha sana, ila leo CCM imevuna aibu kubwa sana kwa tukio hili.

Tusubiri drama za kujitetea na kujisaficha baada ya kuharibu.

Anyway, Mungu ana makusudi na kila jambo.
 
Kwa maana hiyo Rais Samia asiitwe Rais kwasababu kwa hadhi ya Urais halingani na Rais wa Marekani, Uchina na nchi zingine zilizojuu ya Tanzania kimaendeleo?
shadow SGs halingani hata kidogo daktari wa falsafa Dr Emanuel Nchimbi πŸ’
 
Kwendraaa! Hoja ya kijinga kabisa hiyo
 
Bwahaa, bwahaaaaa, yaani nimecheks kwa nguvu hadi mtoto wangu kaamka. Tunaposema mnategemea mbeleko ya vyombo vya dola huu ndio ushahidi. Sehemu ambayo hamna mbeleko ya vyombo vya dola hamuwezi kutia team. Nyie mtaishia tu kupora uchaguzi kwa kubebwa na vyombo vya dola. Na siku hivyo vyombo vya dola vikiacha mshindane kwa haki, ndio kiama chenu.
 
Hao wanaokwepa midahalo hawana cha kuongea ?....Ccm ya kina Pascal Mayalla Ina vituko kweli kweli
 
Bwahaa, bwahaaaaa, yaani nimecheks kwa nguvu hadi mtoto wangu kaamka. Tunaposema mnategemea mbeleko ya vyombo vya dola huu ndio ushahidi. Sehemu ambayo hamna mbeleko ya vyombo vya dola hamuwezi kutia team. Nyie mtaishia tu kupora uchaguzi kwa kubebwa na vyombo vya dola. Na siku hivyo vyombo vya dola vikiacha mshindane kwa haki, ndio kiama chenu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…