Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani tuache kufanya kazi muhimu za wananchi au kupumzika nyumbani ili kugain ernegy, mtu aende kupiga makelele na mdomo na kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi, kweli?Mbona mnaogopa midahalo km mbowe? Nini shida jentroman? 😹😹😹
Hayo ya ilani ya chama wananchi tusiokuwa na vyama haituhusu, aje kwenye mdahalo tuwasikize wote..!!
Odero ana sera za kihuni...Odero ana sera km za Hashim Rungwe za ubwabwa, tofauti yeye anakemea watu kula miguu na utumbo wa kuku 😹😹😹
Mbowe katoka nduki, sikuamini maishani kama mbowe ni dhaifu kiasi hiki kuogopa mjadala wa waziHamna jipya hapo toka kwa Lissu ni mitusi na lawama sizizo na msingi.
Odero anatumika kama Break ya Lissu kunywa maji😂😂😂😂Huyu Odero ni kama amekuja kuchangamsha mdahalo
Sema tusi moja tu la Lissu, ulilomsikia anamtukana,, nakupa buku kumi kila tusi utakalotupia humu.Hamna jipya hapo toka kwa Lissu ni mitusi na lawama sizizo na msingi.