Pre GE2025 Mdahalo wa Wagombea Uenyekiti CHADEMA Taifa

Pre GE2025 Mdahalo wa Wagombea Uenyekiti CHADEMA Taifa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Odemba: Lissu uliombwa Milioni 30 ukashindwa kuchangia kwajili ya Uchaguzi

Lissu: Mimi milioni 30 sina, kwani dhambi?
 
Ndio uwekwe mdahalo tuone kitakavyowaka, hiyo miradi ni ya the late 😹😹
mtumishi,
hukuna miradi ya mtu binafsi inayotekelezwa chini ya serikali sikivu ya CCM.
Kinachotekelezea ni ilani ya Uchaguzi ya CCM.

CCM hufanya midahalo moja kwa moja na wanainchi kuanzia ngazi ya shina kwa maneno na vitendo.

Na sio kulumbana kama hao wapiga makelele, porojo na mdomo 🐒
 
Kutakuwa na mdahalo wa wagombea uenyekiti wa Chadema leo kuanzia saa 3:30 usiku pale Star Tv.

wagombea wanaotarajia kuwepo kwenye mdahalo huo ni pamoja na jabali wa siasa, Tundu Lissu pamoja na Odero Odero.

Freeman Mbowe hatahudhuria mdahalo huo kwasababu ambazo zipo nje ya uwezo wake.

Msimamizi wa mdahalo huo atakuwa Chief Odemba mtaalam wa mahojiano.


View: https://www.youtube.com/watch?v=FfS5cmy-nSk

Live updates zitakujia hapaView attachment 3204664

Kuchangia ushauri,kuchangia fedha,kuchangia Maisha,kuchangia kwa idadi inayotakiwa kama huna sio Dhambi!
 
Tundu Lissu: Tulinunua jengo na kulifanya makao makuu ya Chama kutokana na pesa za ruzuku ambazo zililimbikizwa
 
mtumishi,
hukuna miradi ya mtu binafsi inayotekelezwa chini ya serikali sikivu ya CCM.
Kinachotekelezea ni ilani ya Uchaguzi ya CCM.

CCM hufanya midahalo moja kwa moja na wanainchi kuanzia ngazi ya shina kwa maneno na vitendo.

Na sio kulumbana kama hao wapiga makelele, porojo na mdomo 🐒
Mbona mnaogopa midahalo km mbowe? Nini shida jentroman? 😹😹😹

Hayo ya ilani ya chama wananchi tusiokuwa na vyama haituhusu, aje kwenye mdahalo tuwasikize wote..!!
 
Kinacho furahisha kwenye huu mdahalo sio tu nyinyi audience ambao hamumjui Odero.

Hata Lissu leo akihojiwa na Azam alisema hajawahi kuonana naye.

Lakini Odero alihojiwa akisema alimtengeneza Lissu yani ni matunda yake.

Odero ana vinasaba vya ukenya. Kila kilicho kizuri anasema chakwake au ameki influence yeye.
Ameona Mbowe anayedai kila kitu kizuri cha Chadema amekitengeneza yeye, ameamua kuyakaimu maneno ya Mbowe😀
 
Mimi na Mnyika tulikuwa watu wa mwisho kuambiwa kuhusu Lowasa. Tulipohoji tuliambiwa wajumbe wengine wote walishakubali.
Dr.Slaa ndiye aliyeanzisha mawazo ya kumleta Lowasa, ndiye aliyenipigia simu. Gwajima ndiye aliyekuwa mshenga wa Lowasa.
Sasa ilikuwaje slaaa akaondoka wakati yeye ndie alimleta lowasa
 
Odemba: Lissu huna milioni 30?
Lissu: Ndio sina milioni 30 kwani ni dhambi?

20250117_230551.jpg
 
Back
Top Bottom