Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
He can run but he won't hide.That was obvious. Mbowe asingetokea.
Ropo anawatosha, apewa nafasi ili amwage takataka zake kwa uhuru.Mwamba kala Kona kama Bob Mazishi wa Kipigo cha Dunia π
Mbowe kakatazwa na wafadhili wake asishiriki mdahalo wamemuahidi watahakikisha anashinda kwa kishindoMoto utawaka leo, ila mbowe kwann kala njoro sasa jamani πββοΈπΉπΉ
Tupe clipMgombea wetu Ndugu Lissu anaingia
Ila huu mwaka ushakuwa mfupi πΉπΉMbowe kakatazwa na wafadhili wake asishiriki mdahalo wamemuahidi watahakikisha anashinda kwa kishindo
Live updates iko wapi?Kutakuwa na mdahalo wa wagombea uenyekiti wa Chadema leo kuanzia saa 3:30 usiku pale Star Tv.
wagombea wanaotarajia kuwepo kwenye mdahalo huo ni pamoja na jabali wa siasa, Tundu Lissu pamoja na Odero Odero.
Freeman Mbowe hatahudhuria mdahalo huo kwasababu ambazo zipo nje ya uwezo wake.
Msimamizi wa mdahalo huo atakuwa Chief Odemba mtaalam wa mahojiano.
Live updates zitakujia hapaView attachment 3204664
Ahahahahahhaha ,Viongozi wenye ndimi mbili, huku wanatema moto huku wanatema barafu.
Nimecheka mno!