Pre GE2025 MDAHALO: Wagombea Uenyekiti wa CHADEMA kuhojiwa na Chief Odemba. Ni tarehe 18.01.2025 Jumamosi

Pre GE2025 MDAHALO: Wagombea Uenyekiti wa CHADEMA kuhojiwa na Chief Odemba. Ni tarehe 18.01.2025 Jumamosi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kumekucha ila ngoja tuone Miamba hii miwili ya CHADEMA itakavyomenyana mbele ya Wananchi,

Tuendelee kumwomba Mungu ili sote tufike salama 2025.

====
Mdahalo wa wagombea uenyekiti Chadema Taifa utafanyika tarehe 18/01/2025, siku ya jumamosi kuanzia saa 3:30 Usiku hadi saa 6:00 Usiku, mahali mtajulishwa. Mpaka sasa wagombea wawili wamethibitisha kushiriki mdahalo huo, tunaendelea na jitihada za kuhakikisha wote wanashiriki katika mdahalo, Asante.

=====

View attachment 3186218

Merry Xmas and Happy New year 2025.
Mboe lazima aingie MITINI (haji ng'o)
 
Mkuu umekuwa kama kasuku,hivi lini na wapi Lissu amemtukana mtu? Una chuki sana na Lissu,hivi Lissu kuwa mkweli kukemea maovu yanayofanyika Chadema ndiyo matusi?
Sina chuki na Lissu, siasa zake ndani ya chadema za kuwashambulia wenziwe
 
Yale tukiyaitisha hayawi hayawi yamekuwa:

View attachment 3187016

Bila shaka mwamba atakuwapo kunadi sera zake?

View attachment 3187014

Hii ikiwa ni kwa sababu chuma msimamo wake ni wazi:

View attachment 3187018

🔥🔥

Asiyekubali kushindwa si mshindani!

Pia soma: Uchaguzi wenyeviti taifa Chadema, Debates za wazi ziandaliwe kwa wagombea tuzione mbivu na mbichi zao, itapendeza zaidi!

Pia soma: Kuelekea 2025 - Tuzijue "Sera za Mbowe" dhidi ya "Sera za Lissu," uchaguzi mwenyekiti CHADEMA 2025
Huu utakuwa mdahalo bora Sana na wakibabe kuwahi kutokea tangu kuumbwa Kwa mbingu na ardhi, Mbowe usikose hii fursa wewe si unauwezo WA kukata mikutano 8 Kwa siku!
 
Lissu matusi hamna atakaekubali kufanya mdahalo nae mwenye akili
Nendeni polis mliotukanwa matusi lakin kama mnatukanwa halafu mmekalia jf tunawaona ni wapuuz kama ccm yenu na mamayenu pamoja na mwamba makengeza mla rushwa.
 
Nendeni polis mliotukanwa matusi lakin kama mnatukanwa halafu mmekalia jf tunawaona ni wapuuz kama ccm yenu na mamayenu pamoja na mwamba makengeza mla rushwa.
Kama ni kwenda Polisi,kwa ajili ya kutukanwa,Saa100 ni WA Kwanza
 
Back
Top Bottom