Pre GE2025 MDAHALO: Wagombea Uenyekiti wa CHADEMA kuhojiwa na Chief Odemba. Ni tarehe 18.01.2025 Jumamosi

Pre GE2025 MDAHALO: Wagombea Uenyekiti wa CHADEMA kuhojiwa na Chief Odemba. Ni tarehe 18.01.2025 Jumamosi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Yale tukiyaitisha hayawi hayawi yamekuwa:

View attachment 3187016

Bila shaka mwamba atakuwapo kunadi sera zake?

View attachment 3187014

Hii ikiwa ni kwa sababu chuma msimamo wake ni wazi:

View attachment 3187018

🔥🔥

Asiyekubali kushindwa si mshindani!

Pia soma: Uchaguzi wenyeviti taifa Chadema, Debates za wazi ziandaliwe kwa wagombea tuzione mbivu na mbichi zao, itapendeza zaidi!

Pia soma: Kuelekea 2025 - Tuzijue "Sera za Mbowe" dhidi ya "Sera za Lissu," uchaguzi mwenyekiti CHADEMA 2025
Mbowe atajitoa dakika za mwisho
 
Kumekucha ila ngoja tuone Miamba hii miwili ya CHADEMA itakavyomenyana mbele ya Wananchi,

Tuendelee kumwomba Mungu ili sote tufike salama 2025.

====
Mdahalo wa wagombea uenyekiti Chadema Taifa utafanyika tarehe 18/01/2025, siku ya jumamosi kuanzia saa 3:30 Usiku hadi saa 6:00 Usiku, mahali mtajulishwa. Mpaka sasa wagombea wawili wamethibitisha kushiriki mdahalo huo, tunaendelea na jitihada za kuhakikisha wote wanashiriki katika mdahalo, Asante.

=====

View attachment 3186218

Merry Xmas and Happy New year 2025.
Lissu atatoka nje ya mada, jazba zitamtawala!
 
Nina uhakika kwa 99% Mbowe hatashiriki huo mdahalo.
Nani mzito anaweza kufanya mdahalo na Lissu?

Kwenye suala la kujenga hoja na kupangua hoja kwenye siasa, sidhani kama mwanasiasa hapa Tanzania anaweza kumsogelea Lissu.
 
Nina uhakika kwa 99% Mbowe hatashiriki huo mdahalo.
Nani mzito anaweza kufanya mdahalo na Lissu?

Kwenye suala la kujenga hoja na kupangua hoja kwenye siasa, sidhani kama mwanasiasa hapa Tanzania anaweza kumsogelea Lissu.
mzee wasira miaka ya zamani alikuwa anaweza sasahv kazeeka
 
Wakimaliza mdahalo CDM, tunataka pia mdahalo wa wagombea wa CCM.

Tukimaliza mdahalo wa CCM tunataka mdahalo wa wagombea Urais live.
Mmh hapo kuna kizungumkuti,?!!,mdahalo wa wenyeviti CCM taifa?!!,tangu lini ukawepo!!,labda mmh
 
Hata kama ni energy nitakunywa tu ili nisilale hiyo siku.

Mdahalo sio wa kukosa, na hapo ndipo Lissu atakapochukua point zote za ushindi.

Kuna uwezekano Mwenyekiti king’ang’anizi akagoma kushiriki.
Hakuna uwezekano wa Mbowe kujitokeza kwenye huo mdahalo. Sijawahi kumuona Mbowe kwenye midahalo hata siku moja.
 
Mdahalo unaweza kufanyika, lakini baada ya uchaguzi mtu akahama chama, kama ilivyotokea kwa Sugu vs Msigwa.
 
Kama mdahalo watatimia wote litakua jambo la kuvutia sana siku hiyo.
 
Huu ni ubaguzi mbona wagombea wa CCM hatujawahi kuwaona kwenye MIDAHALO?
 
Mdahalo sio wa kukosa, na hapo ndipo Lissu atakapochukua point zote za ushindi.

Kuna uwezekano Mwenyekiti king’ang’anizi akagoma kushiriki.
Uwezekano wa Mwamba kukimbia ni mkubwa, ila asiposhiriki itakuwa ngumu kwao kukomalia midahalo na CCM wakati wa chaguzi mbalimbali.
 
Chura 2025 na yeye akubali mdahalo aende na gazeti kwa ajiri ya kusoma majibu
 
Back
Top Bottom