Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna watu wataomba maji ya kunywapatamu hapo!
Kama ana uwezo wa Kusimamia miradi ya migodiView attachment 3193105
Kuna mdau kwenye mtandao wa X anamuuliza John Heche anataka Umakamu Mwenyekiti wa Chadema halafu miradi ya Dotto Biteko asimamie nani?
Anaendelea kuanika "Hakuna asiefahamu kuwa wewe ndiye Msimamizi wa miradi yote ya Dotto Biteko ikiwemo migodi yake ya Madini".
Hela mwanaharamuHeche awe msimamizi wa miradi ya mpwa wa hayati Magufuli? Heche huyu huyu aliyeng'anywa kipaza sauti baada ya kuonekana anajibizana na hayati Magufuli hadharani?
Ova
View attachment 3193105
Kuna mdau kwenye mtandao wa X anamuuliza John Heche anataka Umakamu Mwenyekiti wa Chadema halafu miradi ya Dotto Biteko asimamie nani?
Anaendelea kuanika "Hakuna asiefahamu kuwa wewe ndiye Msimamizi wa miradi yote ya Dotto Biteko ikiwemo migodi yake ya Madini".
Na patavuja kweli kweli😁...Acha inyeshe tuone panapovuja.
Timu mwenyekiti huyo, wameshazidiwa mbaya Sana wana gwayagwaya kwa kuzua zua ujinga, "kila mtanzania ana haki ya kumiliki mgodi wake" "Propaganda zimeanza baada ya Heche kutangaza kugombea.
Huyo mdau alitaka Heche asimamie miradi ya nani?View attachment 3193105
Kuna mdau kwenye mtandao wa X anamuuliza John Heche anataka Umakamu Mwenyekiti wa Chadema halafu miradi ya Dotto Biteko asimamie nani?
Anaendelea kuanika "Hakuna asiefahamu kuwa wewe ndiye Msimamizi wa miradi yote ya Dotto Biteko ikiwemo migodi yake ya Madini".
Kwa sasa CHADEMA inamuhitaji sana LISSU kuliko MBOWE a.k.a MuseveniView attachment 3193105
Kuna mdau kwenye mtandao wa X anamuuliza John Heche anataka Umakamu Mwenyekiti wa Chadema halafu miradi ya Dotto Biteko asimamie nani?
Anaendelea kuanika "Hakuna asiefahamu kuwa wewe ndiye Msimamizi wa miradi yote ya Dotto Biteko ikiwemo migodi yake ya Madini".
Chama kinakufa waziwaziMwenyekiti. Lissu
Makamu heche
Katibu. Lema
chadema ina watu wazuri wapo upstair ila wanavurugwa na nguvu za wapinzani wao ili wavurugikiweKuna watu wataomba maji ya kunywa
Ni kama Lissu alivyokataa hongo ya Abdul na kuitangaza hadharani. Siri za miradi ya wanafamilia wa hayati Magufuli haziwezi kuwekwa kwenye himaya ya domokaya.Hela mwanaharamu
Dunia hii kila kitu kinawezekana
Ila atajibu hoja na sisi tuwe watabiri tu
ulitaka kife kimejifunika shukaChama kinakufa waziwazi