brownjosephati
JF-Expert Member
- Jun 7, 2024
- 549
- 674
ukweli mtupuPropaganda zimeanza baada ya Heche kutangaza kugombea.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ukweli mtupuPropaganda zimeanza baada ya Heche kutangaza kugombea.
View attachment 3193105
Kuna mdau kwenye mtandao wa X anamuuliza John Heche anataka Umakamu Mwenyekiti wa Chadema halafu miradi ya Dotto Biteko asimamie nani?
Anaendelea kuanika "Hakuna asiefahamu kuwa wewe ndiye Msimamizi wa miradi yote ya Dotto Biteko ikiwemo migodi yake ya Madini".
CHADEMA una multitask na mawaziri wa CCM?Mambo ya ajabu kweli, wabongo hawapendi au hawataki mtu ku multitask
Bampa to bampa! Pipoz!Mwenyekiti. Lissu
Makamu heche
Katibu. Lema
Kwa hiyo wewe wapinzani wako mna uadui?CHADEMA una multitask na mawaziri wa CCM?
Yaani unaamini kabisa eti kuna upinzani wa kweli Tanzania?😁...Tuachane na genge la wapotoshaji wenye nia ya kuua upinzani wa kweli Tanzania...
Unajua maana ya upinzani ?Yaani unaamini kabisa eti kuna upinzani wa kweli Tanzania?😁
Sijui. Lakini inaonekana unapenda sana kuota😁Unajua maana ya upinzani ?
Tofautisha chama na upinzani , Ikiwa magufuli bingwa wa siasa za Maigizo alikutana na upinzani umo umo ccm hadi akafa na kutangazwa siku tano baadae .Sijui. Lakini inaonekana unapenda sana kuota😁
Endelea tu kuota kamanda😁Tofautisha chama na upinzani , Ikiwa magufuli bingwa wa siasa za Maigizo alikutana na upinzani umo umo ccm hadi akafa na kutangazwa siku tano baadae .
Hii ndo ilivyo mkuu Tanzania mtafuta na kuua vyama vya upinzani na sio upinzani.
Huo ndo ukweliEndelea tu kuota kamanda😁
Ukweli kwako wewe lakini sio kwa wote😎Huo ndo ukweli
Khaaaa......basi sawa....View attachment 3193105
Kuna mdau kwenye mtandao wa X anamuuliza John Heche anataka Umakamu Mwenyekiti wa Chadema halafu miradi ya Dotto Biteko asimamie nani?
Anaendelea kuanika "Hakuna asiefahamu kuwa wewe ndiye Msimamizi wa miradi yote ya Dotto Biteko ikiwemo migodi yake ya Madini".
Kikifa kisirisiri kama sasa ni afadhali maana kinaonekana kama kiko hai, kumbe kiko mautiuti.ulitaka kife kimejifunika shuka
Katiba yetu inaruhusu kila mtanzania anayo haki ya kumiliki mali, biashara, ardhi, mgodi alimradi mali hizo hazitokani na ufisadi, rushwa au chochote kilicho kinyume na sheria za nchi.Huyo mdau alitaka Heche asimamie miradi ya nani?
Anaumia Heche kusimamia miradi ya madini ya Biteko?
Propaganda za kitoto kabisa.