Mdogo wa Gwajima amtetea Makonda, asema Josephat apuuzwe vita ya madawa ya kulevya

Ss najaribu kutafakari km Mchungaji Gwajima ni last born hyo kada Wa chama katokea wapi
 
Tunajua Gwajima tapeli wala hakuna anaemamini, tunarudi kwa Daudi vyeti tunataka mbona rahisi tu
 
sijui wengi wetu tuna akili za kushikiwa!, ndugu wa makonda kajitokeza mmewaamini waloyasema ila ndugu wa gwajima kujitokeza hamumuamini kazi kumponda!, haya ndo kashasema hajawahi fufua hata panya rubbish!..
 
Ngoja tusubiri j2 gwajima mkubwa atakapomjibu gwajima mdogo
 
Huyu naye atakuwa ameshahongwa mwambieni Daudi Bashite aonyeshe vyeti vyake hadharani kama hajanunua aache usanii kwenye jumba la sanaa.
 
Ashatiwa hella kunako.....ngoja ziishe
 
Amsaidiaje kuyauza? kuyaficha? kuficha ukweli? anatuhumiwa kweli ndugu anajua jamaa hawez fufua kitu wewe unamuita mjinga kama nan? aachwe mtaani azidi kutuharibu kama anauza anyongwe!.
 
Huwa nasema kila siku upinzani hawajitambui!

Yani mwanafamilia kaja kuthibisha kwamba Gwajima ni tapeli, wewe msukule unaemuona kupitia tv unakuja hapa na porojo zako!
 
Nilimsikiliza kwa makini sana nikajua sasa busara inatawala, lakini alichokosea huyo ndugu ni kusema tu.. Yeye ni kada wa ccm. Kauli zake zote zitachukuliwa kisiasa pia..

Nasubiri majibu ya akomeeee kutoka kwa Gwajima maana ukiingiza siasa tu Gwajima hakuachi.
 

Dawa za Kulevya kakabidhiwa Siang'a ambaye anafanya kazi kwa ufanisi mkubwa na husikii watu wakilalamika kuonewa.Baraza la Mitihani linahamasisha watanzania kuwafichua wote wenye vyeti feki na wanaotumia vyeti ambavyo sio vya kwao.Adhabu yake ni kifungo cha Miaka Saba Gerezani.Watanzania wamemfichua Bashite kutekeleza Maombi ya Baraza la Mitihani na kuisaidia Serikali katika zoezi uhakiki wa vyeti feki.
Kumbuka Nchi ni ya Watanzania na watanzania ndio hawataki kiongozi mwenye vyeti feki.
 
wee dogo Gwajima... embu usituondoe kwenye uwepo wa kusubiri vyeti hapa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…