Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna alie tumiwa nikurida hadhi ya familia haiwezekani mkamuona ndugu yenu anawahibisha mkaka kimyaNikisema kuwa huyudogo naye ametumiwa aitakuwa nimekosea
Se
Hapa vyeti tuuu....
Hajawahi kufufua hata panyamimi nilipata zero sikupewa cheti.
haya Bashite leta cheti chako upesi.
Amsaidiaje kuyauza? kuyaficha? kuficha ukweli? anatuhumiwa kweli ndugu anajua jamaa hawez fufua kitu wewe unamuita mjinga kama nan? aachwe mtaani azidi kutuharibu kama anauza anyongwe!.Huyo sio mdogo wake kwakweli...yani ndugu yako wa dam kabisa anatuhumiwa kuuza unga anadakwa na kulala central ...badala ya kumsaidia unasema ujinga kama huo..ety serikali inamlea sana Gwajima....ety anatuhumiwa vingi sana...hajamfufua baba wa watoto yatima ....huyu ni mjinga....kwaiyo anaisapport serikali imkandamize kaka yake...imfunge...imtuhumu kwa kuuza unga...huyu dogo anabidi akapimwe akili...Na sidhani kama ni mdogo wake wa kweli
Lete vyeti sio kelele hapaSisi watz tumechoka na ujinga wenu hoja ya msingi hapa ni.madawa ya kulevya ni siyo ujinga wenu .
Hajawahi kufufua hata panya
Vyeti vya Makonda vinakusaidia nini wewe msukule wa Gwajima?unalia-lia nini?/
mbona kuonyesha vyeti ni jambo jepesi kuliko haya mapovu mnayobubujikwa hapa??
hapa vyeti tu.
Alichozungumza ni sahihi kabisa na mimi namsifu kwa ujasiri alionao, ishu ya vyeti ni suala la yeye na mwajiri wake na kwakuwa nafasi aliyopewa sio ya kupigiwa kura sidhani kama kunahajaya watu kushikia bango kiasi hicho ati aonyeshe vyeti ili kiwe nini? na kwavyovyote vile ingekuwa ya ni nafasi ya kushindaniwa yawezekana asingetia mguu. Hatahivyo shida kubwa watu wameamua kujitoa ufaham kwenye jambo la msingi la madawa ya kulevya kwa sarakasi za gwajima. Yaani watu na elimu zao kila siku wamekalia vyetivyeti mdaini vyeti akigombea ubunge au udiwani hii aliyoteuliwa na Rais atajuana na bosi wake. Tuwe serious jamana watanzania please for the seck of our country
Kwa ufupi
Mdogo wake na mchungaji Josephat Gwajima wa Kanisa la ufufuo na uzima, amesema mchungaji huyo anatakiwa aache kutumika na kuhoji kuna nani nyuma yake. Amedai mchungaji hawezi kujiingiza kwenye malumbano na mipasho ya kidunia.
Ameendelea kusema vyeti vya Makonda viachiwe mamlaka husika kuchunguza kwani kumuandama sana inaweza kusababisha watu wengine siku zijazo kuogopa kujihusisha kupambana na madawa ya kulevya.
Amesema serikali imemlea sana Gwajima na waziri wa mambo ya ndani anatakiwa amuangalie na ana tuhuma nyingi ikiwemo kadai angemfufua baba wa watoto yatima ilhali yeye anajua hajawahi kufufua hata panya.
Amedai tabia ya kubeza shughuli za maendeleo zinazofanywa na serikali sio tabia njema na haiisadii nchi. Amesema anajua vita ya madawa ya kulevya ni ngumu na hugharimu maisha, atoa wito kwa watanzania wote kuunga mkoni juhudi za kutokomeza madawa ya kulevya hasa Dar es Salaam.
Amesema anafahamu yeyote atakayejitokeza kuunga mkono juhudi za kupambana na madawa ya kulevya ataandamwa tu na hivyo kwa namna ya pekee anamshukuru mkuu wa mkoa wa Dar Paulo Makonda na atakumbukwa na vizazi vyote kwa kujitoa Muhanga kusimamia vita ya madawa ya kulevya Dar es Salaam na kila mmoja amefahamu athari za madawa ya kulevya hadi kwa watoto wadogo ndio maana anaandamwa kila kona na kuhoji walikuwa wapi kuyasema yote kabla ya vita ya madawa ya kulevya.