Mdogo wa Gwajima amtetea Makonda, asema Josephat apuuzwe vita ya madawa ya kulevya

Mdogo wa Gwajima amtetea Makonda, asema Josephat apuuzwe vita ya madawa ya kulevya

Mtaongea lugha zote na kumtetea huyo kihiyo lkn ili Gwajima aoekane muongo wekeni vyeti,lkn hata mseme nini Daudi anahitajika ashitakiwe mahakani kwa kutumia cheti cha MTU mwingine ni kosa kisheria.

Nendeni mkashitaki
 
Kwa ufupi mdogo wake mchungaji wa kanisa la ufufuo na uzima (Josephat Gwajima) amesema mchungaji huyo anatakiwa aache kutumika na kuhoji kuna nani nyuma yake. Amedai mchungaji hawezi kujiingiza kwenye malumbano na mipasho ya kidunia.

Ameendelea kusema vyeti vya Makonda viachiwe mamlaka husika kuchunguza kwani kumuandama sana inaweza kusababisha watu wengine siku zijazo kuogopa kujihusisha kupambana na madawa ya kulevya.

Amesema serikali imemlea sana Gwajima na waziri wa mambo ya ndani anatakiwa amuangalie na ana tuhuma nyingi ikiwemo kadai angemfufua baba wa watoto yatima ilhali yeye anajua hajawahi kufufua hata panya.

Amedai tabia ya kubeza shughuli za maendeleo zinazofanywa na serikali sio tabia njema na haiisadii nchi. Amesema anajua vita ya madawa ya kulevya ni ngumu na hugharimu maisha, atoa wito kwa watanzania wote kuunga mkoni juhudi za kutokomeza madawa ya kulevya hasa Dar es Salaam.

Amesema anafahamu yeyote atakayejitokeza kuunga mkono juhudi za kupambana na madawa ya kulevya ataandamwa tu na hivyo kwa namna ya pekee anamshukuru mkuu wa mkoa wa Dar Paulo Makonda na atakumbukwa na vizazi vyote kwa kujitoa Muhanga kusimamia vita ya madawa ya kulevya Dar es Salaam na kila mmoja amefahamu athari za madawa ya kulevya hadi kwa watoto wadogo ndio maana anaandamwa kila kona na kuhoji walikuwa wapi kuyasema yote kabla ya vita ya madawa ya kulevya.


Mwelekeze am shauri huyo dogo kuwa na adabu na awe tayari kutubu pale anapoambiwa anakosea eg ubungo plaza scam
 
Mbowe hatumii vyeti vya mwingine Hata kama ana div 0. Ameridhika na zero yake ndo maana hakuthubutu kutumia cha mwingine
 
SIJAWAI KUPATA KUMUELEWA MCHUNGAJI GWAJIMA HATA SIKU MOJA, NA SITOKAA NA KUMPONGEZA MAKONDA KIUONGOZI HABADANI.
 
Huyu dogo vipi?Gwajima ni mchungaji lakini pia ni mtanzania aliyetuhumiwa kuuza madawa ya kulevya.Kwa hiyo anahaki ya kujibu tuhuma pia kuhoji uhalali wa vyeti vya Makonda.Mlikuwa wapi kuongelea hili wakati Gwajima anatuhumiwa?
 
Kazi ndogo tu hapa weka vyeti tuachane na Gwajima hapa jina la mchezo ni Bashite sio mdogo wake Gwajima huyo naye atakuwa anafanya biashara ya mihogo atulie kwanza vyeti viwekwe mezani.
 
Si Gwajima anadanganya watu kuwa Kabisa lake linafufua wafu? Hiyo ndio tuhuma ya udanganyifu kwa umma!
 
Daudi Mchambuzi, nawe usiwe kasuku kila siku kurukia jambo usilokuwa na uhakika nalo.

Kwanza Bashite ni nani? Kama humjui nyamaza. Kama unamjua na unataka vyeti vyake kuviona, mfuate akuoneshe, ujiridhishe, kisha urudi hapa jamvini kutujuza.

Najua huna ujasiri huo ila kujificha nyuma ya keyboard na kulalama tu.
hahaha watu wengine 'HAKILI' HAMNA
 
Kwa ufupi mdogo wake mchungaji wa kanisa la ufufuo na uzima (Josephat Gwajima) amesema mchungaji huyo anatakiwa aache kutumika na kuhoji kuna nani nyuma yake. Amedai mchungaji hawezi kujiingiza kwenye malumbano na mipasho ya kidunia.

Ameendelea kusema vyeti vya Makonda viachiwe mamlaka husika kuchunguza kwani kumuandama sana inaweza kusababisha watu wengine siku zijazo kuogopa kujihusisha kupambana na madawa ya kulevya.

Amesema serikali imemlea sana Gwajima na waziri wa mambo ya ndani anatakiwa amuangalie na ana tuhuma nyingi ikiwemo kadai angemfufua baba wa watoto yatima ilhali yeye anajua hajawahi kufufua hata panya.

Amedai tabia ya kubeza shughuli za maendeleo zinazofanywa na serikali sio tabia njema na haiisadii nchi. Amesema anajua vita ya madawa ya kulevya ni ngumu na hugharimu maisha, atoa wito kwa watanzania wote kuunga mkoni juhudi za kutokomeza madawa ya kulevya hasa Dar es Salaam.

Amesema anafahamu yeyote atakayejitokeza kuunga mkono juhudi za kupambana na madawa ya kulevya ataandamwa tu na hivyo kwa namna ya pekee anamshukuru mkuu wa mkoa wa Dar Paulo Makonda na atakumbukwa na vizazi vyote kwa kujitoa Muhanga kusimamia vita ya madawa ya kulevya Dar es Salaam na kila mmoja amefahamu athari za madawa ya kulevya hadi kwa watoto wadogo ndio maana anaandamwa kila kona na kuhoji walikuwa wapi kuyasema yote kabla ya vita ya madawa ya kulevya.


Kwani mkuu wa mkoa kuambiwa aonyeshe vyeti vya form four ni kumzuia kupambana na madawa ya kulevya?
 
Maneno matupu bila vyeti ni Unaa.. Nilijua Kaleta vyeti. JINGALAO mkubwa.
 
Huyo katumwa, ina maana mchungaji alivyochafuliwa hadharani hakuona, hata alivyolala selo hukuona?,
Mbali ya hayo yote, kwani mkuu wa mkoa akionyesha vyeti vyake atapungukiwa vipi nguvu ya kupambana na madawa ya kulevya? Kama ana kosa la kutumia cheti cha mtu mwingine, hana budi kuwajibishwa kwa mujibu wa sheria. Kupambana na madawa ya kulevya isiwe kichaka cha wavunja sheria
 
Ndugu wa Ngwajima anasema Ngwaji hajawai hata kufufua panya ndio aweze binadamu hahaha sasa misukule ina amini atafufua binadamu...
 
Kwa ufupi mdogo wake mchungaji wa kanisa la ufufuo na uzima (Josephat Gwajima) amesema mchungaji huyo anatakiwa aache kutumika na kuhoji kuna nani nyuma yake. Amedai mchungaji hawezi kujiingiza kwenye malumbano na mipasho ya kidunia.

Ameendelea kusema vyeti vya Makonda viachiwe mamlaka husika kuchunguza kwani kumuandama sana inaweza kusababisha watu wengine siku zijazo kuogopa kujihusisha kupambana na madawa ya kulevya.

Amesema serikali imemlea sana Gwajima na waziri wa mambo ya ndani anatakiwa amuangalie na ana tuhuma nyingi ikiwemo kadai angemfufua baba wa watoto yatima ilhali yeye anajua hajawahi kufufua hata panya.

Amedai tabia ya kubeza shughuli za maendeleo zinazofanywa na serikali sio tabia njema na haiisadii nchi. Amesema anajua vita ya madawa ya kulevya ni ngumu na hugharimu maisha, atoa wito kwa watanzania wote kuunga mkoni juhudi za kutokomeza madawa ya kulevya hasa Dar es Salaam.

Amesema anafahamu yeyote atakayejitokeza kuunga mkono juhudi za kupambana na madawa ya kulevya ataandamwa tu na hivyo kwa namna ya pekee anamshukuru mkuu wa mkoa wa Dar Paulo Makonda na atakumbukwa na vizazi vyote kwa kujitoa Muhanga kusimamia vita ya madawa ya kulevya Dar es Salaam na kila mmoja amefahamu athari za madawa ya kulevya hadi kwa watoto wadogo ndio maana anaandamwa kila kona na kuhoji walikuwa wapi kuyasema yote kabla ya vita ya madawa ya kulevya.


Huyu ni mhuni Fulani kajitengenezea kimkutano cha ubabaishaji.Kwanza hajajitambulisha yeye ni nani! Na sisi tusiokuwa wa familia ya Gwajima tutajidhihirisha vipi kuwa kweli ni mdogo wake? Any way jumapili nitafika kanisani kwa Gwajima najua majibu ya hiki kilichopo hapa kitazungumzwa na Gwajima na Familia yake pale Ubungo.
 
Dah! huyu ndiye ndugu yake anayemfahamu in and out " hajawaki kufufua hata panya" ila waliokutana naye bongo ndio wanajifanya kumuamini. Kamrarua ile mbaya
"MDOGO WAKE"
Hana jina?
 
Back
Top Bottom