Mdogo wa Gwajima amtetea Makonda, asema Josephat apuuzwe vita ya madawa ya kulevya

Mdogo wa Gwajima amtetea Makonda, asema Josephat apuuzwe vita ya madawa ya kulevya

Mdogo wake asiyekuwa na jina. Vidudumtu kama hivi askofu waka hajisumbui navyo. Mchungaji yeye anataka vyeti. Baaaas[/QUOTE UJUE CCM IMEZOEA MICHEZO KAMA ILE YA KINA MASABURI KUVALISHA WANYWA VIROBA JEZI ZA CDM NA KUJIFANYA WANAANDAMANA UJINGA MTUPU WANANCHI WASHAISHTUKIA CCM WACHACHE TU TENA NAMAANISHA WACHACHE WENGI WANAANDIKA TU HAPA KWAVILE HATUWAONI JINSI WANAVOTAABIKA NA UCHUNGU MWINGI
 
Huyu stress za Maisha zinamwandama mpaka anamchukia ndugu yake. Huyu Gwajima asingetuhumiwa kwa kashfa nzito kama hiyo wala asingehangaika na Makonda. Hata mimi nisingetulia kwa kashfa kama ile tena kupitia vyombo vya habari.
 
Mkuu upo sahh, ibada ya jpil huyu mdogo wake Bishop ni zam yke
Sijaona alichosema kanarukaruka kama kitenesi anasema ameona awaambie watanzania nani kamuomba ?

Kuna vijitu vinajipendekeza sana na vijitu kama hiv ni vishirikina sana.
 
Mwambie kwanza mbowe aonyeshe vyeti
Mbowe toka azaliwe anajulikana kama Freeman na hadi Leo in hivyo.
Shida mtu unazaliwa Koromije unaitwa kiazi, ukienda Mwanza unaitwa muhogo na unaanza maisha na kupewa kazi watu wanakuita Magimbi. Wapi na wapi hiyo!
 
Kwanini ishu ya vyeti ianze baada ya vita vya madawa?

Kama ana ushahidi wa hivyo vyeti kwa nini asiweke mezani watu waone?

Vita ya madawa ya kulevya haiendeshwi vile alivyokuwa anaendesha Bashite.. Ndo maana lawama zilitoka kila upande, kwamba badala ya kusaidia kupambana na madawa ya kulevya, yeye anawasaidia watuhumiwa kujipanga na kuondoa ushahidi.. Ajenda yake ya siri aliyokuwa nayo ndio iliomponza..

Ukiwa unaishi kwenye nyumba ya vioo usiwe wa kwanza kuanza kurusha mawe..
 
Mdogo wa Gwajima ni kada wa CCM
 

Attachments

  • IMG_20170309_155801.jpg
    IMG_20170309_155801.jpg
    53.8 KB · Views: 21
Kashashikishwa! Penye udhia penyeza rupia! Ngoja kaka mtu aje jumapili
 
Anatafuta kik tu huyu ili atajwe na mzee wa mipasho, hahahaa muulize Abdallah Bulembo keshapewa onyo asiendelee kumtaja taja Gwajima kwa sababu akimjibu ataomba ahame Tanzania
 
Kwanin wale waliogushi vyeti wakaachishwa kazi waliviweka vyet vyao hadharani mkaviona au waliwaonesha wanaohusika na vyet ndo wakaviona na yeye atawaonesha wahusika watakao vihitaji vyet vyake ila sidhan kama itakuwa hadharani kama watu mnavyofikiria
 
Hivi badala ya watu kukazana kila siku WEKA VYETI WEKA VYETI, Kwanini msiwashinikize hao viongozi wa upunzani ili washughulikie hili swala? Hakuna atakaye weka vyeti hadharani kwa kua wananchi tu wanadai. Lazima hili suala liende kwa utaratibu wa sheria.
Hivi kwanza kuna kiongozi wowte wa upinzani aliozungumzia hili suala?
 
Sina haraka majibu nitayapata jumapili hii Ufufuo na uzima
 
Back
Top Bottom