Mdogo wangu wa kike amenitusi muda huu, ninatetemeka kwa hasira

Hama nyumbani kaka
 
Ilishawahi nitokea, mdogo wangu wa kike alikua na tabia ya kuchelewa kurudi nyumbani, kurudi usiku ikawa ni kawaida kwake. Pamoja na kuonywa Sana,tabia iliendelea mpaka siku Moja niliyoamua kumtandika viboko na baada ya hapo kutokujihusisha na jambo lake lolote ikiwa ni pamoja na kutokupokea salamu zake. Alinichukia Sana na ulipita muda mrefu mpaka pale alipokuja kugundua ujinga aliokuwa ameufanya. Leo hii tunaheshimiana na ananishukuru Sana
 
Miaka 20 form four huyo kachelewa Sana kuanza shule aisee . Umri huo alistahili kuepo form six na pia miaka 20 huyo sio mtu wa kumuamuliia ishu nzima ya mahusiano kabisa
 
Sasa dogo amekua ashaonja rungu ndo unataka uendelee kumjaza sumu ambazo anaona ni uduwanzi😂😂😂😂
 
Mbona hayakutukana.Kakuambia kweli.Ungetukanwa ingekuaje?.Mwache kuku apewe mchele aliwe na wali.
Kwani kuku wako?
 
Tatzo limeanzia kwako Wew kaka mkubwa, Mpaka Leo unakaa kupishana na Dada zako Hapo kwenu alikusema vile mbele ya Dada wa kazi Ili uondoke ukapange kwako na kingne uache kufatilia mambo yawanawake .
 
Mkuu..kwel hilo la dogo tena wa kike kukutolea shiit sikubaliani nalo..mm madogo zangu wa kike hatutofautian ki umri ila wameniheshmu mpk wameolewa....yaan wao wakiwa form four mimi nipo chuo mwka wa kwanza nlikuwa nawapasua hadi wakawa wananiogopa.....bora uogopwe kulikon utolewe shiit na mtt wa kike
 
Miaka 26 bado upo kwa mama unasubiri chakula cha hausigeli. Huyu mdogo wako kakushauri vyema kuwa uwe kama mwanaume. Sasa wewe endelea kutetemeka hapo halafu kesho umwombe mama hela ya kunyolea ndevu na vyuzi lako
 
Baadae apate mimba zisizo eleweka, alete shida home & brother kupigwa vizinga vya dawa za mtoto (uncle)
Mabinti bhana
mtoto akililia wembe mpe
narudia tena mtoto wa kike hachungwi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…