Paul dybala
JF-Expert Member
- Jul 30, 2023
- 524
- 2,097
Wakuu,,,kichwa kinauma sana,..malezi ya watoto wa kike ni magumu sana.
Dogo mara ya mwisho aliga anaenda kujaza fomu shule,...yaani ndio hawa madogo wamemaliza mitihani juzi ya necta. Sasa kutokea ijumaa alivoondoka ndio hadi sasa hajaonekana.
Nilivofikishiwa na bi mkubwa hizi taarifa imenibidi nisafiri ndio nimeeingia saivi Dar maana nilikuwa Dodoma.
Yani dogo katumia uzaifu wa wazee kaona anawamudu kwa hiyo katokomea alipotokomea nimefatilia RB,...nimepeleleza kwa rafiki yake akadai kuna boda ndio huwa anaonekana nae....
Sasa shida inakuja namna ya kumtaiti huyu boda maana naingia gharama ambazo ni nyingi za usafiri na ufatiliaji. Hivi kitu kama hiki kama kilishatokea mlifanyaje wakuu...kichwa ni kinauma sana wakuu ....
Jua kali mno kumtafuta mtu aliyejificha.
================
Nilichopanga Kufanya
================
Kesho nimejipanga nianzie shuleni alikokuwa akisoma,..kisha niwaelezee walimu wake situation nzima...baada ya hapo nitamuomba rafiki yake ...na binti ...anipe ushirikiano wa kunionesha huyu boda aliyemchukua mdogo wangu...sitaki nimuingize huyo rafiki wa binti kwenye majanga ...kisha nikishamjua nitamkodi hadi gogoni kituo cha polisi nikifika pale ...nitamwambia aingie tu hmna wasiwasi ...
Nitawaeleza polisi kila kitu kisha tutamnasa kirahisi sana...
Mods onganisheni huu uzi na ule niliouweka awali...
Dogo mara ya mwisho aliga anaenda kujaza fomu shule,...yaani ndio hawa madogo wamemaliza mitihani juzi ya necta. Sasa kutokea ijumaa alivoondoka ndio hadi sasa hajaonekana.
Nilivofikishiwa na bi mkubwa hizi taarifa imenibidi nisafiri ndio nimeeingia saivi Dar maana nilikuwa Dodoma.
Yani dogo katumia uzaifu wa wazee kaona anawamudu kwa hiyo katokomea alipotokomea nimefatilia RB,...nimepeleleza kwa rafiki yake akadai kuna boda ndio huwa anaonekana nae....
Sasa shida inakuja namna ya kumtaiti huyu boda maana naingia gharama ambazo ni nyingi za usafiri na ufatiliaji. Hivi kitu kama hiki kama kilishatokea mlifanyaje wakuu...kichwa ni kinauma sana wakuu ....
Jua kali mno kumtafuta mtu aliyejificha.
================
Nilichopanga Kufanya
================
Kesho nimejipanga nianzie shuleni alikokuwa akisoma,..kisha niwaelezee walimu wake situation nzima...baada ya hapo nitamuomba rafiki yake ...na binti ...anipe ushirikiano wa kunionesha huyu boda aliyemchukua mdogo wangu...sitaki nimuingize huyo rafiki wa binti kwenye majanga ...kisha nikishamjua nitamkodi hadi gogoni kituo cha polisi nikifika pale ...nitamwambia aingie tu hmna wasiwasi ...
Nitawaeleza polisi kila kitu kisha tutamnasa kirahisi sana...
Mods onganisheni huu uzi na ule niliouweka awali...