Narekeremo
JF-Expert Member
- May 20, 2021
- 714
- 755
Yaani kwa mtoto wa kike akisha jua tu kuishika na kuielekezako tayari kichwa huwa kama kimejaziwa bando la mwaka hashikiki wala haambiliki utamaliza viatu tu mkuu huyo kashakua mwenzio.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa kapata kitu 6 oclockKeshaolewa huyo..
Hawa vijana wa bodaboda ni wapumbavu sana, na target yao ni wanafunzi kwa sababu ni rahisi kuwarubuni.Wakuu,,,kichwa kinauma sana,..malezi ya watoto wa kike ni magumu sana.
Dogo mara ya mwisho aliga anaenda kujaza fomu shule,...yaani ndio hawa madogo wamemaliza mitihani juzi ya necta ..Sasa kutokea ijumaa alivoondoka ndio hadi sasa hajaonekana.
Nilivofikishiwa na bi mkubwa hizi taarifa imenibidi nisafiri ndio nimeeingia saivi dar maana nilikuwa dom.
Yani dogo katumia uzaifu wa wazee kaona anawamudu kwa hiyo katokomea alipotokomea...nimefatilia RB,...nimepeleleza kwa rafiki yake akadai kuna boda ndio huwa anaonekana nae....Sasa shida inakuja namna ya kumtaiti huyu boda maana naingia gharama ambazo ni nyingi za usafiri na ufatiliaji...hivi kitu kama hiki kama kilishatokea mlifanyaje wakuu...kichwa ni kinauma sana wakuu ....jua kali mno kumtafuta mtu aliyejificha.
Yap kabisa...,ninaplan kesho nipajue gheto kwa boda nimalizie kazi kisha niendelee na ratiba zanguPole sana mkuu. Dogo yuko kwa boda anachezea mashine. Hawa madogo wa miaka 16 hadi 19 ambao ndio wanapevuka ni kama vichaa, wakipigwa pipe mara moja ama 2 wakajua utamu wake hua wanakua vichaa, yaani hapo alikua anaiwaza muda wote akiwa shuleni, alivyopata tu chance ya kumaliza ameikimbilia.
Huyo boda kwa sasa huna namna ya kum tight, wewe mchukue dogo umrudishe nyumbani kama umempata, mpe tu nasaha maana ukimpiga anarudi kwa boda kupooza machungu ya kipigo kwa utamu wa mashine.
Kajiteka 😂Hajapotea mkuu, amejipoteza, subiri kama baada ya siku 3-5 atajilata na kureport nyumbani
Hapo ndo unakuwa umemkomesha.Muulize rafiki yake huyo Boda anapaki kituo Gani!?
Ama nenda kituo Cha Bodaboda jirani na anapoishi Binti, tafuta Boda mmoja, mtie mkwanja kidogo, muonyeshe Picha ya Binti, utapata taarifa za wapi alipo Binti Yako....!
Peleke Wazee.......! Kijana atafunguliwa Kesi ya Ubakaji, Watakuja Ndugu zake ndo unawapa gharama zako ulizotumia... Unawaambia watoe Million 3 kama gharama ulizotumia then utafuta Kesi, yataenda kuuzwa Mashamba Kijijini kwao mpaka itimie Hiyo Pesa...!
Hivyo ndo wenzako hufanya.
Ungeanza kwa kumuwekea aya ya Quran🤣🤣Weka picha tukusaidie kutafuta
Kama umeshajua yuko kwa bwana salama, achane nae,wwe endelea na maisha yako ,dogo kesha kua na anajitafutia himaya yake!!Wakuu,,,kichwa kinauma sana,..malezi ya watoto wa kike ni magumu sana.
Dogo mara ya mwisho aliga anaenda kujaza fomu shule,...yaani ndio hawa madogo wamemaliza mitihani juzi ya necta. Sasa kutokea ijumaa alivoondoka ndio hadi sasa hajaonekana.
Nilivofikishiwa na bi mkubwa hizi taarifa imenibidi nisafiri ndio nimeeingia saivi Dar maana nilikuwa Dodoma.
Yani dogo katumia uzaifu wa wazee kaona anawamudu kwa hiyo katokomea alipotokomea nimefatilia RB,...nimepeleleza kwa rafiki yake akadai kuna boda ndio huwa anaonekana nae....
Sasa shida inakuja namna ya kumtaiti huyu boda maana naingia gharama ambazo ni nyingi za usafiri na ufatiliaji. Hivi kitu kama hiki kama kilishatokea mlifanyaje wakuu...kichwa ni kinauma sana wakuu ....
Jua kali mno kumtafuta mtu aliyejificha.
Si mlisha aambiwa yuko na boda!? Sasa wasiwasi wa nini!!??Sawa kaka ila atujulishe kama ni mzima
Mwacheni aolewe, mnamtafuta wa nini?Wakuu,,,kichwa kinauma sana,..malezi ya watoto wa kike ni magumu sana.
Dogo mara ya mwisho aliga anaenda kujaza fomu shule,...yaani ndio hawa madogo wamemaliza mitihani juzi ya necta. Sasa kutokea ijumaa alivoondoka ndio hadi sasa hajaonekana.
Nilivofikishiwa na bi mkubwa hizi taarifa imenibidi nisafiri ndio nimeeingia saivi Dar maana nilikuwa Dodoma.
Yani dogo katumia uzaifu wa wazee kaona anawamudu kwa hiyo katokomea alipotokomea nimefatilia RB,...nimepeleleza kwa rafiki yake akadai kuna boda ndio huwa anaonekana nae....
Sasa shida inakuja namna ya kumtaiti huyu boda maana naingia gharama ambazo ni nyingi za usafiri na ufatiliaji. Hivi kitu kama hiki kama kilishatokea mlifanyaje wakuu...kichwa ni kinauma sana wakuu ....
Jua kali mno kumtafuta mtu aliyejificha.