Mdogo wangu wa kike kapotea tokea siku ya ijumaa

Mdogo wangu wa kike kapotea tokea siku ya ijumaa

Wakuu,,,kichwa kinauma sana,..malezi ya watoto wa kike ni magumu sana.

Dogo mara ya mwisho aliga anaenda kujaza fomu shule,...yaani ndio hawa madogo wamemaliza mitihani juzi ya necta. Sasa kutokea ijumaa alivoondoka ndio hadi sasa hajaonekana.

Nilivofikishiwa na bi mkubwa hizi taarifa imenibidi nisafiri ndio nimeeingia saivi Dar maana nilikuwa Dodoma.

Yani dogo katumia uzaifu wa wazee kaona anawamudu kwa hiyo katokomea alipotokomea nimefatilia RB,...nimepeleleza kwa rafiki yake akadai kuna boda ndio huwa anaonekana nae....

Sasa shida inakuja namna ya kumtaiti huyu boda maana naingia gharama ambazo ni nyingi za usafiri na ufatiliaji. Hivi kitu kama hiki kama kilishatokea mlifanyaje wakuu...kichwa ni kinauma sana wakuu ....

Jua kali mno kumtafuta mtu aliyejificha.
Hakikisha kwanza kama yuko salama kwa huyo boda.. Hiyo inaitwa love at first sight.. Imewatesa vijana wengi sana
 
Wakuu,,,kichwa kinauma sana,..malezi ya watoto wa kike ni magumu sana.

Dogo mara ya mwisho aliga anaenda kujaza fomu shule,...yaani ndio hawa madogo wamemaliza mitihani juzi ya necta. Sasa kutokea ijumaa alivoondoka ndio hadi sasa hajaonekana.

Nilivofikishiwa na bi mkubwa hizi taarifa imenibidi nisafiri ndio nimeeingia saivi Dar maana nilikuwa Dodoma.

Yani dogo katumia uzaifu wa wazee kaona anawamudu kwa hiyo katokomea alipotokomea nimefatilia RB,...nimepeleleza kwa rafiki yake akadai kuna boda ndio huwa anaonekana nae....

Sasa shida inakuja namna ya kumtaiti huyu boda maana naingia gharama ambazo ni nyingi za usafiri na ufatiliaji. Hivi kitu kama hiki kama kilishatokea mlifanyaje wakuu...kichwa ni kinauma sana wakuu ....

Jua kali mno kumtafuta mtu aliyejificha.
Jua kali mno kumtafuta mtu aliyejificha😂
Pole sana
 
Kaka kazi unayo mi nimewalea dada zangu kipigo walichokuwa wanapokea adi saiv na ukubwa wao adabu tele, uyo kafichwa mahali kuna siku tulishawah fanya opereshin mtot wa jiran fom two Likataa shule akaenda kwa mshkaj siku nne haonekani kupleleza tukajuwa sasa tukaenda kienyeji kama wavamizi piga sana yule kijana ikawa msala kwetu wawili wakadakwa tukatiwa cello ila asubuh tulitoka huyo mkishajuwa alipo nendeni ripot kwa mjumbe eneo ilo bebeni askari wamtie nguvuni uyo binti kamata pig kisawa sawa mpka umwonee huruma
 
Back
Top Bottom