Na ndiyo maana Mama Samia kawaruhusu wakisha fanya ujinga wao kwenye balehe zao warudi shule! Mama aliona mbali sana hongera zake kwa kuwaokoa ma binti wadogo kwa kuendelea kupata elimu!!Mtumish ni ngumu sana kupambana na binti wa kuanzia miaka 16-20 unapoteza mda wako tu bure
Hama Gheto Boda jamaa ana roho mbaya hataki uichapeBodaboda mwenyewe npo apa kumbe ndo mbinu uliyopanga bwashee
Nahamia nje ya nchi,huyu mtoto siwezi kumuacha hv hvHama Gheto Boda jamaa ana roho mbaya hataki uichape
Una watoto wa kike mkuu?Eloping.
Yaani ametoroshwa,ametoroka.
Usiseme amepotea.
Mtoto kapata mume,kaondoka,unalalamika nini.
Unawazuia vijana kufanya legitimate activity ,which is disgusting to you,but quite legitimate.
Watarudi salama mkuu jiandae kuitwa mjomba , ila kuna mambo yanatia hasira aisee mbona hakuna shida kusema unataka kuolewa kama umechoka kuendelea na elimu ya juu watu wapige mpunga uende ukatumikie huko unakuja kuwapa wazee presha zisizo na maana.Sawa kaka ila atujulishe kama ni mzima
Hakikisha kwanza kama yuko salama kwa huyo boda.. Hiyo inaitwa love at first sight.. Imewatesa vijana wengi sanaWakuu,,,kichwa kinauma sana,..malezi ya watoto wa kike ni magumu sana.
Dogo mara ya mwisho aliga anaenda kujaza fomu shule,...yaani ndio hawa madogo wamemaliza mitihani juzi ya necta. Sasa kutokea ijumaa alivoondoka ndio hadi sasa hajaonekana.
Nilivofikishiwa na bi mkubwa hizi taarifa imenibidi nisafiri ndio nimeeingia saivi Dar maana nilikuwa Dodoma.
Yani dogo katumia uzaifu wa wazee kaona anawamudu kwa hiyo katokomea alipotokomea nimefatilia RB,...nimepeleleza kwa rafiki yake akadai kuna boda ndio huwa anaonekana nae....
Sasa shida inakuja namna ya kumtaiti huyu boda maana naingia gharama ambazo ni nyingi za usafiri na ufatiliaji. Hivi kitu kama hiki kama kilishatokea mlifanyaje wakuu...kichwa ni kinauma sana wakuu ....
Jua kali mno kumtafuta mtu aliyejificha.
Jua kali mno kumtafuta mtu aliyejificha😂Wakuu,,,kichwa kinauma sana,..malezi ya watoto wa kike ni magumu sana.
Dogo mara ya mwisho aliga anaenda kujaza fomu shule,...yaani ndio hawa madogo wamemaliza mitihani juzi ya necta. Sasa kutokea ijumaa alivoondoka ndio hadi sasa hajaonekana.
Nilivofikishiwa na bi mkubwa hizi taarifa imenibidi nisafiri ndio nimeeingia saivi Dar maana nilikuwa Dodoma.
Yani dogo katumia uzaifu wa wazee kaona anawamudu kwa hiyo katokomea alipotokomea nimefatilia RB,...nimepeleleza kwa rafiki yake akadai kuna boda ndio huwa anaonekana nae....
Sasa shida inakuja namna ya kumtaiti huyu boda maana naingia gharama ambazo ni nyingi za usafiri na ufatiliaji. Hivi kitu kama hiki kama kilishatokea mlifanyaje wakuu...kichwa ni kinauma sana wakuu ....
Jua kali mno kumtafuta mtu aliyejificha.