Mdogo wangu wa kike kapotea tokea siku ya ijumaa

Hawa watoto wa kike wanaweza kufanya wazazi watembee njiani huku wanaongea peke yao.

Utateseka sana, mwache atarudi tu, ila ndo hivyo tena.
 
Mtangaze kwenye radio na kwenye mitandao.
 
mkuu hujapitia hayo yakutafuna watoto za watu....acha na wenzako wajilipe...kawaida sana lazima wana waisraeli waipitishe jangwani kabla hajaingia inchi ya ahadi....enzi zangu binti alichungwa nikaenda ipigia kwenye chumba chake mdngi akanifuma.....demu akavunja mlango aniserve...kwa mimi siangaiki kabisa na hawa wadogo zangu.... kuna siku niliiingia chumbachao nilikuta azuma kama box 800.....utapambana na vijana wa watu kumbe kenyewe ni kaajenti ka kiwanda cha azuma kusambaza gono...
 
Umenikumbusha mbali kisa cha rafiki yangu. Binti kabaki peke yake na Mama yake kwa sababu Kaka zake wote wako mbali kikazi.

Akaanza usumbufu kama huo, Mama kila wakati anampigia rafiki yangu juu ya tabia za mdogo wake. Rafiki alimwambia sasa ushauri wa mwisho achana naye kabisa. Sisi kama Watoto wsko tunataka ufurahie maisha yako ya Uzee.

Binti baada ya miezi sita karudi kwao na mimba. Mhusika kakimbia, kawa mpole.

Sasa hivi Binti kanyooka na ni msaada mkubwa pale kwao hasa kumsaidia Bi Mkubwa na masuala pia ya logistics.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…