Kwanini?Mwambie aende kusoma D.I.T Kampasi ya Mwanza
Hii theory yako mkuu itenegenezee uzi kabisaπ€£Kuna umri kwa wanawake wanatakiwa kupigwa haswa na wanaume kupiga hasa ila kwa tahadhari kubwa na kuzingatia afya na mimba , kinyume na apo utakuja zikimbiza papuchi uzeeni na wajukuu zako.
πππmkuu bado sina akili ya kufikia kiwango cha kuanzisha uzi.Hii theory yako mkuu itenegenezee uzi kabisaπ€£
Nyuki watajazana kwa kupishanaKama ana
Chura ndo balaa
Unaona sasaYaaa ni kweli l.
Na wakuoa tupo hapa ππππ
ππππππ Mkuu wewe ni understanding sana aiseeee yaani umeongea kitu kizuri sanaUnaona sasa
Tena inabidi akupe wewe
Mambo ya ooh mpaka tujuane ndio wanakosa
Duuuh aiseee...Aisee kusema ukweli chuo kwa mabinti ni mtihani kwa kweli
Kuna mabint wanasomwa chuo cha mwalim nyerere iseee wanagomba ile mbayaaaa kwa kifupi wanauza uchi kwa bei cheee kbs
Yeye aliishi hayo maisha akiwa chuo.Swali la kujiuliza;
- Wewe ulishirikije kwenye huo mtindo wa chuo,.. Positively/ Negatively ?
Jibu lake kwa kiwango kikubwa litakupa mwanga juu ya maisha ya mdogo wako yatakavyokuwa pia.
Jambo la kufamu ni kwamba tabia ya mtu kwa asilimia kubwa inachangiwa na malezi.
Oyaaa hawafaiiiii ni bora ukaoa hao la saba wana nafuu kuliko binti aliepitia chuo huwa ameshachakazwa vyakutoshaaDuuuh aiseee...
Mi kuoa mtu wa degree kwa kweli itakua shughuli
Hii nayo ni changamoto.Geti kali home na shuleni kuonana ni visting day tu.