Tumekusikia jibu swaliMarekani kashampeleka mwenzenu kuzimu huko Somalia, mfadhili mkuu wa yale ma ISIS ma-ndugu yenu katika dini
Ny.koAache roho mbaya, wote ni watanzani, kinachopaswa kufanywa ni kupeleka na wabara kwenye wilaya za Zanzibar. Tuache ubaguzi
Huyo Mwinyi mdogo mwenyewe baba yake Mtanganyika. Utashangaa akimteua Mtanganyika, kama ulivyodai!?Natoa ushauri kwa CHADEMA watu kama mdude CHADEMA na wengine wenye aina yake ya siasa hawaisaidii CHADEMA Bali wanaiharibia kabisa.
Kwa mujibu wa katiba ,uteuzi wa wakuu wa wilaya unafanywa na Rais kama ulivyo kwa uteuzi mwingine wowote wa kikatiba.
Mfano, aliyekuwa katibu mkuu wizara ya nishati Tanzania bara mhandi Zena, Rais Dkt. Mwinyi alipoingia tu madarakani alimteua kuwa katibu mkuu kiongozi na katibu wa mabaraza la Mapinduzi la Zanzibar, cheo cha juu kwa utumishi wa umma Zanzibar.
Sasa Kama mtanganyika amepewa cheo Cha juu kabisa Cha utumishi wa umma, ni kweli
Mkuu wa wilaya hawezi kuteuliwa?
Acheni upotoshaji CHADEMA mtapoteana mtafute mchawi
🤣🤣🤣🤣Sheikh nyakati zenu hizi kula kwa mrija
Aache roho mbaya, wote ni watanzani, kinachopaswa kufanywa ni kupeleka na wabara kwenye wilaya za Zanzibar. Tuache ubaguzi
Huyo Mhandisi Zena anatokea wapi na wizara aliyokuwa anaiongoza kama katibu mkuu ni ya muungano au siyo ya muungano? Pili alipoteuliwa na Rais wa Zanzibar Dk. Hussein Mwinyi je aliteuliwa kama mtu kutoka Bara au Zanzibar? Rudi darasani Kisha uje upost vitu vinavyoeleweka na pia achana na uccm au uchadema tunapoongelea mambo muhimu kama haya.Natoa ushauri kwa CHADEMA watu kama mdude CHADEMA na wengine wenye aina yake ya siasa hawaisaidii CHADEMA Bali wanaiharibia kabisa.
Kwa mujibu wa katiba ,uteuzi wa wakuu wa wilaya unafanywa na Rais kama ulivyo kwa uteuzi mwingine wowote wa kikatiba.
Mfano, aliyekuwa katibu mkuu wizara ya nishati Tanzania bara mhandi Zena, Rais Dkt. Mwinyi alipoingia tu madarakani alimteua kuwa katibu mkuu kiongozi na katibu wa mabaraza la Mapinduzi la Zanzibar, cheo cha juu kwa utumishi wa umma Zanzibar.
Sasa Kama mtanganyika amepewa cheo Cha juu kabisa Cha utumishi wa umma, ni kweli
Mkuu wa wilaya hawezi kuteuliwa?
Acheni upotoshaji CHADEMA mtapoteana mtafute mchawi
Katiba haitoi haki hiyo ila rais katumia mamlaka yake yeye kinyume na katiba.Hakuna mtu wa Tanzania bara anayeweza kuwa Hata VEO Zanzibar.Aache roho mbaya, wote ni watanzani, kinachopaswa kufanywa ni kupeleka na wabara kwenye wilaya za Zanzibar. Tuache ubaguzi
Wanaweza kupata Uzanzibari kwa kwenda kuishi Zanzibar?Wajukuu hao si Wazanzibari kwa sheria za huko. Hata waliozaliwa Zanzibar ila hawaishi huko kwa zaidi ya miaka mitano si Wazanzibari.
Susan Kinambi, Mary Joey Thomas wote hawajazaliwa znz na wamezaliwa T.bara hivi sasa in wakuu wa wilayaSasa hicho haliwezekani mtu kutoka bara akawa DC kule
Hapo ndipo Utakapo shangaa !!Cha kushangaza watanganyika ndio hawataki kuuvunja
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Ndio maana Katiba mpya ni muhimu ili irekekebishe mapungufu mengi yaliyojitokeza kwenye muungano na kwenye nyanja zinginezo ! Lakini utasikia wengine wanahoji eti kwani Katiba mpya itakuletea chakula mezani ? Jibu lao ni kwamba hapa duniani hatuishi ili tule bali tunakula ili tuishi tuweze kufanya mengine mengi yanayostahili kufanywa !!Kiukweli hili Jambo la kubaguliwa kwa watanzania(bara) kule zbar ,kwenye umiliki wa ardhi,ajira,elimu ya juu, teuzi za uongozi ,n.k, haikubaliki. Kwanini wao (watanzania visiwani) waruhusiwe kwenye kila fursa ya Tanzania bara, halafu wa bara kule zbar hawaruhusiwi, hapo sio muungano ni kupeana mizigo ya bure, katiba inatakiwa kuangaliwa upya ... kukaa kimya kutapelekea wa bara, kuwa na chuki na wa Zanzibar. Wekeni Mambo sawa ili twende sambamba
Sasa uoni kuzuia wabara kuwa maDC uko zbar ni roho mbaya?? Wakataa nn??Aache roho mbaya, wote ni watanzani, kinachopaswa kufanywa ni kupeleka na wabara kwenye wilaya za Zanzibar. Tuache ubaguzi
Kiongozi atakae kuja kuifanya zanzibar kama mkoa.Tanzania ikawa moja atakua kalifanyia taifa hili jambo la kukumbukwa daima.Alichondika Mdude kwenye ukurasa wa twitter.
"Moja ya mapungufu ya katiba iliyopo ni kwamba, mtu kutokea Bara-Tanganyika hawezi kuwa mkuu wa wilaya Zanzibar lakini mtu kutokea Zanzibar anaweza kuwa mkuu wa wilaya Bara. Sasa huu ni muungano wa namna gani? Ndio maana tunahitaji #KatibaMpya kuondoa ubaguzi wa namna hii."
View attachment 2496334
Kama mimi sherehe niliyoifanya baada ya kifo cha dictator JPMSiku Muungano ukivunjika nitafanya sherehe kubwa sana.
Ushawai ona mbara kaenda kuwa rais kule.. ila wa kule akhaaa.Alichondika Mdude kwenye ukurasa wa twitter.
"Moja ya mapungufu ya katiba iliyopo ni kwamba, mtu kutokea Bara-Tanganyika hawezi kuwa mkuu wa wilaya Zanzibar lakini mtu kutokea Zanzibar anaweza kuwa mkuu wa wilaya Bara. Sasa huu ni muungano wa namna gani? Ndio maana tunahitaji #KatibaMpya kuondoa ubaguzi wa namna hii."
View attachment 2496334
Mtanzania yeyote akiishi Zanzibar kwa miaka 5 mfululizo anakuwa Mzanzibari. Ila ni sheria za ajabu sana za kumpokonya uraia mtu kwa kuwa haishi huko. Kama Uzanzibari waweza kuitwa uraia.Wanaweza kupata Uzanzibari kwa kwenda kuishi Zanzibar?
Roho mbaya ya Mdude ni ipi?Aache roho mbaya, wote ni watanzani, kinachopaswa kufanywa ni kupeleka na wabara kwenye wilaya za Zanzibar. Tuache ubaguzi