Hilo swala la identity, utamaduni wangeufany na bara kama ni muhim. Si sawa kupoteza utamaduni wa wachaga kwa kuruhus wahaya kuhamia uchagan huku unalinda utamaduni wa wazanzibar kwa kumminya mtanganyika huko zanzibar.
Mtanzania yoyote lazima awe na haki sawa sehem yoyote nchi.Watafute jina lingine watoe ilo muungano.
Zanzibar ni mkoa haipaswi kuwa na rais.[emoji41]