Ntambirweki again
JF-Expert Member
- Feb 25, 2022
- 213
- 191
Acheni pupa, namba 2 & 7 wanatoka bara.
Wataendaje Zanzibar bila ya kuwa na Katiba mpya? Jiongeze.Aache roho mbaya, wote ni watanzani, kinachopaswa kufanywa ni kupeleka na wabara kwenye wilaya za Zanzibar. Tuache ubaguzi
Wajukuu hao si Wazanzibari kwa sheria za huko. Hata waliozaliwa Zanzibar ila hawaishi huko kwa zaidi ya miaka mitano si Wazanzibari.Sasa hicho kitambulisho kinapatikana vipi?
Ungeniambia hicho kitambulisho kinapatikana hivi, na kwa sababu hii mtu wa bara hawezi kukipata, hapo ningekuelewa.
Hapo hapo kunakuja swali.
Mpemba aliyelowea Arusha na kupata wajukuu baada ya miaka 50 hao wajukuu ni Wazanzibari au watu wa bara?
Watakwambia kule wazanzibar wapo wachache ndio maana wanapewa upendeleo maalum.Aache roho mbaya, wote ni watanzani, kinachopaswa kufanywa ni kupeleka na wabara kwenye wilaya za Zanzibar. Tuache ubaguzi
Very selfish people, very ignorant and yet they think wapo superior to us.Wajukuu hao si Wazanzibari kwa sheria za huko. Hata waliozaliwa Zanzibar ila hawaishi huko kwa zaidi ya miaka mitano si Wazanzibari.
Watanganyika kwanza mujiulize huu ni muungano au ni ukoloni wa taifa moja kulitawala koloni jengine?huu si muungano
Very selfish people, very ignorant and yet they think wapo superior to us.
Zanzibar ni kama Rwanda only smaller in size advantage yao wana port tofauti na Rwanda.
Wanini tunawalazimisha wapemba wamejazana pwani yetu kwa amani tunawapokea vizuri hata tajiri mkubwa Tanzania nzima Bakhresa ni mpemba sijui mzanzibari na hatuna shida wakati viwanda vyake na mashamba yake yapo bara. Hizo ndio vision za Tanzania
Hila wao sasa kujiona muhimu and very selfish people
Watoke tu, huu muungano wa CCM binafsi nimewachoka hawa very ignorant and ungrateful.
Ndio maana nikasema huu muungano ni wa Afro Shiraz party na TANU...kwa HESHIMA naomba nikazie hoja yako.
..wanaong'ang'ania muungano ni wanasiasa vigogo wa Ccm toka Zanzibar.
..bila msaada wa vyombo vya dola vya Tanganyika wanaweza kupokonywa madaraka.
..suala la wananchi wa kawaida wa Zanzibar kuhamia na kupata fursa Tanganyika sio tatizo ilimradi wanafuata sheria.
..Watanganyika hatuna roho mbaya ya kukataa wageni. Tungekuwa na tabia za kibaguzi tusingewapa uraia Warundi na Wanyarwanda waliohamia kwetu.
Hasira za nini?Nyingi wapuuzi. Zena kazaliwa Tanganyika lakini wazee wake ni wapemba siyo.mtanganyika ni mpemba. Kuna wale wakiristo wakuu wa wilaya. Wamezaliwa Tanganyika na wazee wao ni watanganyika lakini ni wazanIbar.na wale wakurugenzi wambao ni watanganyika kwa sababu tu ni waislamu hamuwati kuwa ni watanganyika. Hivi shuleni mnajazwa mavi kichwani?
Charles Hilali Mkwanga ni mzanzibar mwenye asili ya Bara wakitokea Tanga, sawa na Rais aliyepo kule aliyetokea Mkuranga. Tena hawa ni kizazi cha pili tu, wazazi wao Walihamia kule na wao wamezaliwa kule.Charles Hillary mkurugenzi wa mawasiliano ya Rais Zanzibar.huyu ni mbara kabisa
We jizuzue tu kweny koment za watu🤣🤣Mufti kwio hovyo sana wewe
Upuuzi wa mdude unauita hojaJamaa katoa hoja wewe unakuja kutukana, nyie ndio wale mnao shikiwa akili na zaidi ya hapo akili ulio nayo ni ya kukuwezesha ku lig in facebook
Hivi kwanini huu Muungano usikufilie mbali wote warudi kwao tuone jeuri yao?Majibu yatakuwa yale yale, Zanzibar padogo wabara hawataenea, udogo wa eneo la wale jamaa unawafanya watufaidi sana, ni kama kupe anayenyonya damu ya n'gombe.
Comodor Msingiri wa KMKM( ambae ni mkuubwa kikosi cha KMKM. Wazee wake wote ni watanzania bara wamekuja znz tu.Sina uhakika kama Yeye amezaliwa ZNZ. Mkurugenzi mkuu wa PBZ ni chotara kwao tabira na hajazaliwa znz kabisa. Mkurugenzi wa ZRB na yeye hajazaliwa znz amekuja znz baada ya kuteuliwa si mzazibar na wala hana asili ya znz. Mkurugenzi wa ZBS ni.mtanganyika.na wala.hana asilinya znz. Vp niendelee zaidi?? Wacheni ujinga na upuuziwenu
Hili jambo nililiandikia uzi kuwa Muungano unawaweka mtu kati waislamu wa Tanganyika..halafu kwanini Mama hateui Waislamu wa Tanganyika?
..uteuzi wa wakuu wa wilaya umejaza Wakristo hakuna uwiano kabisa.
..Nimegundua kwamba Waislamu wa Tanganyika hawathaminiwi na ndugu zao wa Zanzibar.
Mambo mengi ni ya kijinga sana ktk nchi hii.huu muungano huwezi elewa lengo la ndani ni nini,uhuru kwa pande zote mbili ingekuwepo basi huu ungekuwa muungano wa kupongezwa sana sana lkn si hivyo.vichekesho ni vingi sana.Alichondika Mdude kwenye ukurasa wa twitter.
"Moja ya mapungufu ya katiba iliyopo ni kwamba, mtu kutokea Bara-Tanganyika hawezi kuwa mkuu wa wilaya Zanzibar lakini mtu kutokea Zanzibar anaweza kuwa mkuu wa wilaya Bara. Sasa huu ni muungano wa namna gani? Ndio maana tunahitaji #KatibaMpya kuondoa ubaguzi wa namna hii."
View attachment 2496334