Mdude Nyagali: Bil 600 zimekwapuliwa huku makarani wakinyimwa posho na bado zoezi halijakamilika kwa wakati

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
Mnasema ndani ya siku 7 mmewafikia 93% ya watu wote halafu mnaongeza Siku 7 kwa 7% zilizobakia? Mnapenda uongo lakini uongo unashindwa kuwapa ushirikiano. Mmeiba bilion 600+ mmewadhulumu makarani posho zoezi likasimama sasa mmeongeza Siku 7 ili kuficha aibu. Shame on vibaka nyie.

Wameshatafuna bilion 600+ na Kwa utafiti wangu mdogo zoezi limefeli na ndio maana hawatoi update tena kama wameshafikia watu wangapi kama ilivyokuwa mwanzo. Kitakachofuata ni kupika takwimu. Kwa hiyo pesa za tozo zitakuwa zimeliwa kwa staili hiyo. Ngoja tusubiri Siku ya mwisho.

 
Sasa ni dhahiri huko serikalini kila mmoja anakula kwa urefu wa kamba yake, sijui kwanini Rais hakuwahi kuitolea ufafanuzi ile kauli.

Kwa wale mnaopenda kumlaumu Mdude "anatukana", naona hapo katumia neno vibaka, na kila anayekwapua jina lake ni either mwizi, au kibaka, hapo msimlaumu.

Hii nchi tuseme ukweli imemshinda Samia, matokeo ya kauli zake anazotoa bila kuzichuja naona ndio yametufikisha hapa.

Tuhuma za aina hii zinazidi kuongezeka kila siku, huku Mwigulu na tozo, pale sensa, kule Makamba na $30 million za maintanance, hawa anaowaita wanangu naona sasa wanamuibia mama yao.

Haya yasipochukuliwa hatua mapema ndio yanazidi kuongezeka, inaonekana na wengine nao sasa wanaona kama yule alichota pale hakufanywa kitu, ngoja nami nichote hapa.

Matokeo yake Samia anapozidi kuchelewa ku-react anajikuta anashindwa kuwaadhibu kwa kuogopa kuonekana anawaonea wengine, na serikali yake ndio inazidi kuchafuka na kupoteza imani kwa watanzania, naona sasa tunarudi enzi za JK.
 
Mwaka 2010 China ilifanya Sensa na kutumia Yuan Milion 700, sawa na shilingi za kitanzania bilion 236 kwa exchange rate ya leo.
Lakini kinchi kidogo kama Tanzania ambacho ni kama jimbo moja tu la china kinafanya sensa kwa shilingi bilioni 629

Hapa kuna harufu ya wizi!
 
Hao walikuwa washaweka mazingira sawa ya sensa ila tz ndo kwanza tunaweka miundombinu tablets na mtandao...ni gharana...uhamasishajj...ni gharama
 
Hiki cheo cha Makamu wa Rais inabidi tuwe serious nacho
 
Huku kwetu yamejaa majizi tupu
 
Bwana Mdude Nyangali ni mtu makini sana kwenye kujenga hoja zenye mashiko na weledi.......lakini umakini na weledi wake kwenye kujenga hoja na kuziwasilisha Zina chafuliwa na kiwango kikubwa kwenye kifua chake ambazo zimemzidi nguvu mpaka akili inashindwa kuzingatia uchaguzi wa maneno sahihi katika kiwasilisha hoja zake......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…