Morning Glory1
JF-Expert Member
- Oct 23, 2019
- 237
- 381
Hatuwezi kutumia pesa za walipa kodi kwa ajili ya zoezi ambalo halina tija kwa wananchi. Kwa kifupi zoezi la sensa limefeli na sina uhakika kama litatoa matokeo chanya yaliyokusudiwa zaidi ni wajanja wachache kuendelea kupiga hela kwa kumshauri raisi vibaya.. raisi wetu amezungukwa na wasaidizi wa ovyo kabisa