Kinkunti El Perdedo
JF-Expert Member
- Nov 28, 2020
- 5,200
- 12,762
Umesema ukweli mkuu bila kusahau story za nani bora kati ya Diamond na Ali kibaUsitegemee watakuwa na uchungu na pesa za umma wakati AKILI NA nguvu zinawaza SIMBA NA YANGA,NA KUBET
Sio wanapenda jela tatizo watanzania tumepandikizwa tabia mbaya mtu akiongea ukweli anaonekana muhalifuKuna watu wanapenda jela
Kama huyu hapa...sijui ameopolewa kwenye dampo gani halafu kazeeshwa kwa nguvu!Kuna watu wanapenda jela
Una ushahidi wa pesa zimeibwa?Kama unao ushahidi au huo mleta uzi anao ushahidi wa wizi,mngeleta mahesabu hapa,akatuonyesha huo wizi.Sikubaliani na shutuma anazotoa huyu mwehu mdude kwa serikali. Mdude ni mtu ambaye hana akili. Ila nakurekebisha sehemu moja
Kuna kitu mnachanganya sana, uchumi wa nchi hauendeshwi na pesa zinazoibwa. Utofauti wetu na wenzetu walioendelea ndio upo hapo, wao wameweza kudhibiti pesa inayoibwa.
Moja ya kazi nzito aliyonayo mama Samia ni kupunguza na kuzuia pesa kuibiwa na anafanya vizuri eneo hilo. Hii ya kusema pesa inayoibwa sijui ndio inaingia mtaani ni mtu mjinga pekee anayeweza kufikiria kitu Kama hicho.
Bil 600 kuingia kwake mtaani sio kupitia sensa tu au kuibiwa, Bali inaweza kuingia mtaani kupitia uzalishaji na hapo ndio uchumi wa nchi na uchumi wa mmoja mmoja huwa mkubwa.
Huyo anayesema pesa,imeibiwa,atoe ushahidi,wa kimahesabu,atuonyeshe huo wizi.Hoja ya mdude ni mufilisi, Ila pia mzunguko wa peda hautokani na pesa kupigwa bali unatokana na uzalishaji. Hata raisi mwenyewe hawezi kukubali kuona pesa inaibiwa.
Akili Kama zako ndio zinapatikana huku shithole countries tu, mnaamini mzunguko wa pesa mtaani unatokana na pesa kuibwa badala ya uzalishaji
Huyo anayesema pesa,imeibiwa,atoe ushahidi wa kimahesabu,asiseme bila ushahidi wa kimahesabu.Jamaa kanichekesha yaani yeye kwake mzunguko wa pesa unatokana na pesa za umma kukwapuliwa. Haha ipo mambo!
Usifananishe nchi mbili ,zenye jiografia na technologia tofauti.Mwaka 2010 China ilifanya Sensa na kutumia Yuan Milion 700, sawa na shilingi za kitanzania bilion 236 kwa exchange rate ya leo.
Lakini kinchi kidogo kama Tanzania ambacho ni kama jimbo moja tu la china kinafanya sensa kwa shilingi bilioni 629
Hapa kuna harufu ya wizi!
KabisaTumejifunza kwa makosa
Unashangaza, unakiri bunge limeshindwa kufanya kazi yake halafu hautaki Rais alaumiwe, sasa unataka tufanyeje?! au tuzubae tu hapo!.Hapa ndio waTanzania tunafeli!! Wala shida sio ya Rais, shida ipo kwa Bunge wao ndio fimbo yetu dhidi ya serikali ila wameshindwa kazi Yao kuwa oversight.
Kipindi Cha Kikwete licha ya ufisadi kuwa mwingi but bunge lilifanya kazi yake kiasi kwamba mawaziri walikua wanalazimishwa kujiuzulu karibu Kila miezi 3!!
Ilipaswa suala kama sensa bunge iundie kamati, ifanye audit, na wahusika wote wawekewe maazimio ya kufikishwa kwenye vyombo vya sheria!!
Tukulaumu Rais itafika 2025 watatupa fisadi mwingine huku bunge likijaa wapiga meza tu!! Business as usual.
watakwambia China inatengeneza yenyewe vishikwambi.Lakini je,kwanini msiagize in bulk ambayo ingepunguza gharama hizo!(pengine mlifanya hivyo)Mwaka 2010 China ilifanya Sensa na kutumia Yuan Milion 700, sawa na shilingi za kitanzania bilion 236 kwa exchange rate ya leo.
Lakini kinchi kidogo kama Tanzania ambacho ni kama jimbo moja tu la china kinafanya sensa kwa shilingi bilioni 629
Hapa kuna harufu ya wizi!
Broo umepika hii billion 236 hpn labda ukimbia kila Jimbo limegarimu hiyo watu billion mbili jmn utumie pesa hyoMwaka 2010 China ilifanya Sensa na kutumia Yuan Milion 700, sawa na shilingi za kitanzania bilion 236 kwa exchange rate ya leo.
Lakini kinchi kidogo kama Tanzania ambacho ni kama jimbo moja tu la china kinafanya sensa kwa shilingi bilioni 629
Hapa kuna harufu ya wizi!
Kwani kuna shida?Kuna watu wanapenda jela
Vichaa ni wengiJamaa kanichekesha yaani yeye kwake mzunguko wa pesa unatokana na pesa za umma kukwapuliwa. Haha ipo mambo!
Una matatizo ya akili? Wapi nimesema pesa zimeibiwa? Kusoma hujui?Una ushahidi wa pesa zimeibwa?Kama unao ushahidi au huo mleta uzi anao ushahidi wa wizi,mngeleta mahesabu hapa,akatuonyesha huo wizi.
Wewe una matatizo ya akili? Wapi hapo nimesema pesa imeibiwa? Haata hivyo kwani pesa haiibiwi? Si kila report ya CAG inaonyesha hivyo? Na ndio hoja yangu ilipo hapo endapo kweli imeibiwa japo sijaona kwenye sensa pesa ilipoibwaHuyo anayesema pesa,imeibiwa,atoe ushahidi,wa kimahesabu,atuonyeshe huo wizi.