Mdude Nyagali: Bil 600 zimekwapuliwa huku makarani wakinyimwa posho na bado zoezi halijakamilika kwa wakati

Mdude Nyagali: Bil 600 zimekwapuliwa huku makarani wakinyimwa posho na bado zoezi halijakamilika kwa wakati

Mtu akifikia umri fulani akili na hesabu hazipandi...CCM inawapenda watu wa aina hiyo! itawatafuta hadi huko waliko baada yab kustaafu na kuwasukumizia majukumu yanayowazidi kimo,

Kuna watu wanapenda jela
Kama huyu hapa...sijui ameopolewa kwenye dampo gani halafu kazeeshwa kwa nguvu!
 
Sikubaliani na shutuma anazotoa huyu mwehu mdude kwa serikali. Mdude ni mtu ambaye hana akili. Ila nakurekebisha sehemu moja

Kuna kitu mnachanganya sana, uchumi wa nchi hauendeshwi na pesa zinazoibwa. Utofauti wetu na wenzetu walioendelea ndio upo hapo, wao wameweza kudhibiti pesa inayoibwa.

Moja ya kazi nzito aliyonayo mama Samia ni kupunguza na kuzuia pesa kuibiwa na anafanya vizuri eneo hilo. Hii ya kusema pesa inayoibwa sijui ndio inaingia mtaani ni mtu mjinga pekee anayeweza kufikiria kitu Kama hicho.

Bil 600 kuingia kwake mtaani sio kupitia sensa tu au kuibiwa, Bali inaweza kuingia mtaani kupitia uzalishaji na hapo ndio uchumi wa nchi na uchumi wa mmoja mmoja huwa mkubwa.
Una ushahidi wa pesa zimeibwa?Kama unao ushahidi au huo mleta uzi anao ushahidi wa wizi,mngeleta mahesabu hapa,akatuonyesha huo wizi.
 
Hoja ya mdude ni mufilisi, Ila pia mzunguko wa peda hautokani na pesa kupigwa bali unatokana na uzalishaji. Hata raisi mwenyewe hawezi kukubali kuona pesa inaibiwa.

Akili Kama zako ndio zinapatikana huku shithole countries tu, mnaamini mzunguko wa pesa mtaani unatokana na pesa kuibwa badala ya uzalishaji
Huyo anayesema pesa,imeibiwa,atoe ushahidi,wa kimahesabu,atuonyeshe huo wizi.
 
Mwaka 2010 China ilifanya Sensa na kutumia Yuan Milion 700, sawa na shilingi za kitanzania bilion 236 kwa exchange rate ya leo.
Lakini kinchi kidogo kama Tanzania ambacho ni kama jimbo moja tu la china kinafanya sensa kwa shilingi bilioni 629

Hapa kuna harufu ya wizi!
Usifananishe nchi mbili ,zenye jiografia na technologia tofauti.
 
Hapa ndio waTanzania tunafeli!! Wala shida sio ya Rais, shida ipo kwa Bunge wao ndio fimbo yetu dhidi ya serikali ila wameshindwa kazi Yao kuwa oversight.

Kipindi Cha Kikwete licha ya ufisadi kuwa mwingi but bunge lilifanya kazi yake kiasi kwamba mawaziri walikua wanalazimishwa kujiuzulu karibu Kila miezi 3!!

Ilipaswa suala kama sensa bunge iundie kamati, ifanye audit, na wahusika wote wawekewe maazimio ya kufikishwa kwenye vyombo vya sheria!!

Tukulaumu Rais itafika 2025 watatupa fisadi mwingine huku bunge likijaa wapiga meza tu!! Business as usual.
Unashangaza, unakiri bunge limeshindwa kufanya kazi yake halafu hautaki Rais alaumiwe, sasa unataka tufanyeje?! au tuzubae tu hapo!.

Kwanini Rais analaumiwa?

1. Yeye ndie huwaweka sehemu kubwa ya hao watendaji wanaoharibu, hivyo anaweza pia kuwaondoa kisheria.

2. Rais ni sehemu ya bunge, hivyo ana uwezo wa kuinfluence anachotaka kikafanywe na bunge lakini hafanyi hivyo, hii nayo ipo kisheria.

3. Rais ana uwezo wa kulivunja bunge lisipofanya vile anataka, hii maana yake Rais yupo juu ya bunge.

Kaisome Katiba ya JMT uone mamlaka ya kimalkia aliyopewa Samia na Katiba ya 1977.

Hii tabia yenu ya kumkwepesha Rais na majukumu yake nawaona wengi wenu mna lengo la kumfichia udhaifu wake tu, nothing else.
 
its,logic, 93% for 7days and another 7days for the remaining 7%. Kuna wakati tunatoa sana maboko ndio maana watu huongea sana.
 
Yani niliposikia tu yule mama amepewa ukamisaa wa sensa nikajua tayari zoezi limesha feli.

Sijui atakuja kuweza kwenye nafasi ipi?? Wakati wa bunge lake ilikuwa ni upupu tu unaendelea.

Hii nchi inabidi tuifanyie reformation vingenevyo hatufiki popote...
 
Mwaka 2010 China ilifanya Sensa na kutumia Yuan Milion 700, sawa na shilingi za kitanzania bilion 236 kwa exchange rate ya leo.
Lakini kinchi kidogo kama Tanzania ambacho ni kama jimbo moja tu la china kinafanya sensa kwa shilingi bilioni 629

Hapa kuna harufu ya wizi!
watakwambia China inatengeneza yenyewe vishikwambi.Lakini je,kwanini msiagize in bulk ambayo ingepunguza gharama hizo!(pengine mlifanya hivyo)
Ukweli hata mtoto wa std IV anaweza kuona kuwa angalau B.50,70 pengine 100 kabisa ziliingia mikono ya wapuuzi!!
 
Mwaka 2010 China ilifanya Sensa na kutumia Yuan Milion 700, sawa na shilingi za kitanzania bilion 236 kwa exchange rate ya leo.
Lakini kinchi kidogo kama Tanzania ambacho ni kama jimbo moja tu la china kinafanya sensa kwa shilingi bilioni 629

Hapa kuna harufu ya wizi!
Broo umepika hii billion 236 hpn labda ukimbia kila Jimbo limegarimu hiyo watu billion mbili jmn utumie pesa hyo

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Jamaa kanichekesha yaani yeye kwake mzunguko wa pesa unatokana na pesa za umma kukwapuliwa. Haha ipo mambo!
Vichaa ni wengi
Kuna meli inakuja hivi karibuni ya kutoka Ukraine, inaleta nafaka. Ukraine wapo kwenye Vita Ila bado wanatuletea nafaka, badala ya sisi kuwapelekea wao. Sisi tukianza kuwapelekea wao ndio pesa inaingia mtaani na ndio uzalishaji wenyewe huo.
 
Huyo anayesema pesa,imeibiwa,atoe ushahidi,wa kimahesabu,atuonyeshe huo wizi.
Wewe una matatizo ya akili? Wapi hapo nimesema pesa imeibiwa? Haata hivyo kwani pesa haiibiwi? Si kila report ya CAG inaonyesha hivyo? Na ndio hoja yangu ilipo hapo endapo kweli imeibiwa japo sijaona kwenye sensa pesa ilipoibwa
 
Back
Top Bottom