Sikubaliani na shutuma anazotoa huyu mwehu mdude kwa serikali. Mdude ni mtu ambaye hana akili. Ila nakurekebisha sehemu moja
Kuna kitu mnachanganya sana, uchumi wa nchi hauendeshwi na pesa zinazoibwa. Utofauti wetu na wenzetu walioendelea ndio upo hapo, wao wameweza kudhibiti pesa inayoibwa.
Moja ya kazi nzito aliyonayo mama Samia ni kupunguza na kuzuia pesa kuibiwa na anafanya vizuri eneo hilo. Hii ya kusema pesa inayoibwa sijui ndio inaingia mtaani ni mtu mjinga pekee anayeweza kufikiria kitu Kama hicho.
Bil 600 kuingia kwake mtaani sio kupitia sensa tu au kuibiwa, Bali inaweza kuingia mtaani kupitia uzalishaji na hapo ndio uchumi wa nchi na uchumi wa mmoja mmoja huwa mkubwa.