Hakuna ndani ya CCM aliyekuwa na balls za kumpangia mporipori nani awe Vice Presiden katika awamu yake ya pili. Alikuwa ameshawatuliza wote wanatetemeka kama wamemwagiwa maji baridi....
Ni yeye mwenyewe na tabia ya Watanganyika kushobokea Wazanzibar na li Muungano hili la CCM ndio kumemponza. The thankless ladybug is dancing on his grave now.