wa ukae
JF-Expert Member
- Aug 11, 2008
- 2,720
- 2,151
Akipelekwa mahakamani msilalamike kuwa anaonewaWw nani uliemuonea huruma? Nyinyi ndio mliokua mkipiga kelele asitoke, lugha za ukakasi ndio zinakunyima usingizi? Kama kavunja sheria peleka mashtaka mahakamani sio kutupigia kelele humu