Mdude Nyagali, siasa zako sio nzuri. Jirekebishe

Mdude Nyagali, siasa zako sio nzuri. Jirekebishe

Aisee kapewa second chance ni MDA ajifunze na awe mstaarabu hafu ana mzingua mazaa siku akibadilika wataanza kulia lia tena
wanasema kunguru hafugiki.

kama jk ndiye mshauri kweli wa mama,inabidi akamuulize sawa sawa juu ya hawa watu.
ni watu wa hovyo sana.
 
Sasa hivi wakimkamata wamfunge maisha kijana Hana busara huyu hafu eti husoma na biblia kabisa. Mdude ajifunnze na aache ujinga Tena amshukuru mama ingekuwa jiwe angeozea jela
Sijawahi kuona huu ujinga kwa ZITTO au Mbowe!

Vijana wengi wa chadema ni kma wanavuta bangi
 
Hata mandela angekuwa muoga kama wewe S.A isingepata uhuru watu kama mdude wasipokuwepo CCM itatawala milele daima na kufanya ujinga wa kila aina
Hawa mataga ni shida sana aiseee , mipumbavu hii ilinyamaza kimya hawakupiga kelele alipopigwa TL, leo Mdude kaongea inaumia na kuhisi kama ccm ndio inaondoka madarakani, mipumbavv kabisa
 
wanasema kunguru hafugiki.

kama jk ndiye mshauri kweli wa mama,inabidi akamuulize sawa sawa juu ya hawa watu.
ni watu wa hovyo sana.
CDM wanalea wahuni Sasa huyo ni mfano gani kwa watu wastaarabu, shauri yake wanao mdaganya yeye ni Mandela Wana mpoteza
 
Hata mimi siungi mkono harakati za namna hiyo. Nadhani aliteleza tu ajirekebishe.
 
Kuna context katika alichokitamka Mdude, amesema "akiendelea kuleta jeuri".

Cha msingi mlengwa aache kuleta jeuri ajitofautishe na mtangulizi wake vinginevyo hawezi kukwepa kufanyiwa jeuri na kina Mdude & co.

Ukipanda mahindi tegemea kuvuna mahindi!
 
Sijawahi kuona huu ujinga kwa ZITTO au Mbowe!

Vijana wengi wa chadema ni kma wanavuta bangi
Wana mihemko na wamekosa busara Sana zitto na mbowe wako matured Sana ndio maana ni nadra kumkuta zito mikononi mwa police maana anajua mipaka yake
 
Dooh..

Huyu jamaa alimnyoa vipi fashisti jiwe wakati alisweka ndani na kushindwa kufurukuta hadi Mama alipoingilia?

Hawa wapinzani ni kweli hawana akili muda mwingine.
[emoji38]nimecheka sana hilo jina, huwa mnam brand sana mzee[emoji38], kwamba ni fashisti kama kina Mussolini
 
Wewe ndiye kichwani ni debe tupu!Tokea lini madikteta wakawa addressed kwa lugha laini?Magufuli alipokuwa anawaambia watu wabaki na mavi yao nyumbani alikuwa amegrow up?Hazikuwa ni siasa za kishamba?Mkuki ni mtamu kwa Nguruwe ila ni mchungu kwa binadamu siyo?
Hata mwanzo mlikuwa mnampa kichwa kama hivi ila alipoenda lupango hakuona bavicha hata mmoja akienda kulala nae kumpa moyo
 
Hawa mataga ni shida sana aiseee , mipumbavu hii ilinyamaza kimya hawakupiga kelele alipopigwa TL, leo Mdude kaongea inaumia na kuhisi kama ccm ndio inaondoka madarakani, mipumbavv kabisa
Nikiona kijana anashabika CCM namuona mjinga ,mvivu, na asie na akili CCM ina sera gani za kushabikiwa?
 
Hajaambiwa kama sisi tupo na mama? Atashangaa atakavyogeukwa
 
Back
Top Bottom