Mdude Nyagali, siasa zako sio nzuri. Jirekebishe

Mdude Nyagali, siasa zako sio nzuri. Jirekebishe

Ninakibamia wakati nimekuzaa ,muulize vizuri bimkubwa baba halisi wako ni nani
kwani kuzaa hata wasio na kibamia kabisa wanazaa mbona,kikubwa mbegu tu zina uwezo!!!

wewe mwanao ni mdude nyangali.
 
Hata sisi tunakosoa lakini kwa lugha ya staha, mbona tuko huru na toka jpm tunamkosoa, anatokea mchona cd pale mlowo kwa akina full dozi anajifanya kutisha watu dogo choko huyu
 
CDM wanalea wahuni Sasa huyo ni mfano gani kwa watu wastaarabu, shauri yake wanao mdaganya yeye ni Mandela Wana mpoteza
kile chama kina watu wa aina zote,kikubwa ujue kuitukana ccm na viongozi wake tu,hayo mengine mbele kwa mbele.
 
Dooh..

Huyu jamaa alimnyoa vipi fashisti jiwe wakati alisweka ndani na kushindwa kufurukuta hadi Mama alipoingilia?

Hawa wapinzani ni kweli hawana akili muda mwingine.
Akili sijui wamepelekwa wapi..hapa ndio watakaposhindwa kuwashawishi Watanzania wenye akili timamu

Huyu kijana kasota sana Jiwe days katoka Utawala wa Mama leo anaongea vitu gani hivi.?
 
Msituletee usenge wenu humu, kama kavunja sheria mpelekeni mahakamani
Hata nwanzo alikuwa akiona coments na likes za watu kama wewe anazidisha uhuni wake ila alipoenda lupango hakuona like hata moja
 
Tumekuonea huruma sana uliyopitia na hata wengi nje ya nchi wanajua masahaibu yako ila una lugha zenye ukakasi sana sijui unataka kuwaiga kina Khery James au kina Kihongosi ?

Ushasikia kina mwaipaya au pambalu wa BAVICHA wakitumia lugha yenye ukakasi kama yako? I think haiatakuchukua hata week utaanza kumtusi kama Rais Samia, jiheshimu bana

Wengi tunataka Katiba mpya ndiyo lakini hii style yako inakera sana na sidhani mbowe ni mjinga mtu kama wewe ukaja kupata kupata cheo ndani ya CHADEMA usipoangalia kila siku wewe utakuwa mtu wa matatizo tu

The guy is smarter than you am sure! Wewe unayengojea au kufikiria kulamba manani ndiyo ustaarabu ndiye unayetakiwa kukua katika dunia ya kidemokrasia. Ungekuwa umepitia aliyopitia ungekuwa unajifungia kwenye chungu au umeunga juhudi. Mwache afanye anavyojisikia!! That is what he is made of! BRASS
 
Hizi siasa za fear bwana

Cant you stop already?

Kunyolewa na wembe tatizo liko wapi?

Yaani haya majitu,fear za magufuli mnazo bado na unataka ziendelee kwa vizazi vifuatavyo?

Tuna aspire kua free world kama mataifa ya mbele huko,provocation ni part of our life, deal with it!
Wewe nae usituletee zako hapa!

Si bora hata mdude anaongea akiwa live?

Wewe kama siyo lioga weka picha na id yako halisi hapa na uanze kuleta huo ujasiri wako
 
Hata nwanzo alikuwa akiona coments na likes za watu kama wewe anazidisha uhuni wake ila alipoenda lupango hakuona like hata moja
So what, ndio mataga mlivyofundishwa kutisha watu hivyo, acheni upumbavu zama zimebadilika
 
Hizi siasa za fear bwana

Cant you top already?

Kunyolewa na wembe tatizo liko wapi?

Yaani haya majitu,fear za magufuli mnazo bado na unataka ziendelee kwa vizazi vifuatavyo?

Tuna aspire kua free world kama mataifa ya mbele huko,provocation ni part of our life, deal with it!
Alimnyoa nani kwa mfano?
 
Wembe wa kupinga uhuru wa kunyimwa haki ya kikatiba kufanya mikutano ya hadhara unawaumia nini? naona wengi mnatokwa mapovu kama misukule hata kufikiria hamuwezi.
 
Back
Top Bottom