kurlzawa
JF-Expert Member
- Jan 23, 2018
- 16,695
- 20,633
Mimi CCM hata maiti yangu haiwezi kuungana nao[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] inang'ang'ania madaraka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi CCM hata maiti yangu haiwezi kuungana nao[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] inang'ang'ania madaraka
Unajaribu kuwaeleza watu ambao Wana closed mind hawaelewi ni majinga hayoWewe ni chizi vitabu kweli yaani...
Yaani upo hapa kufurahia upindindishaji wa sheria na intergirty of our courts by the executive?
Yaani kwavile rais kapenda kuonea mtu basi our precious courts zipindwe mtu aonewe sababu rais hampendi?
Hii ndio precedence gani tunajiwekea kama jamii iliyostaarabika?
Mtu kakutukana,una ushahidi,nenda mahakamani fungua kesi,urgue your case then hukumu ipite huyo mtu afungwe au aachiwe huru
Ila huu unyani wa kugeuza our courts subject to executive ina maana sheria zetu na system yetu ya court ni us3ng3 mtupu!
Wewe bishana na Mdude kama alivyoleta hoja zake na kama kakutukana court ipo,peleka jela acha kuongea kiuonevu na kutojali mifumo na systems zetu sababu eti wewe ni rais
Yaani hii way of dictatorship thinking aliyowaachia Magufuli is a big big problem,na still your brains will never be normal again
CCM matusi kibaoKwa jinsi ulivyo na matusi inadhihirisha kabisa wewe ni choko maana hiyo ndio kawaida yenu
Waafrica mmejaa unafiki na ujinga mwingi. Kwani kusema "wembe alioutumia kumnyolea Magufuli ndio atakaoutumia kumnyolea Samia " shida ni Nini ?Sasa hivi wakimkamata wamfunge maisha kijana Hana busara huyu hafu eti husoma na biblia kabisa. Mdude ajifunnze na aache ujinga Tena amshukuru mama ingekuwa jiwe angeozea jela
Ndio abambikiwe Kesi ya Madawa haramu ya kulevya kwanini wasisubiri wakati anaburudika na joint yake muruwaa.Mdude Hana nidhamu kabisa
Kwani yeye ndo wakwanza kuzeekea jelaSasa hivi wakimkamata wamfunge maisha kijana Hana busara huyu hafu eti husoma na biblia kabisa. Mdude ajifunnze na aache ujinga Tena amshukuru mama ingekuwa jiwe angeozea jela
Huu wembe wake alimnyolea nani??Tumekuonea huruma sana uliyopitia na hata wengi nje ya nchi wanajua masahaibu yako ila una lugha zenye ukakasi sana sijui unataka kuwaiga kina Khery James au kina Kihongosi?
Ushasikia kina Mwaipaya au Pambalu wa BAVICHA wakitumia lugha yenye ukakasi kama yako? I think haiatakuchukua hata week utaanza kumtusi kama Rais Samia, jiheshimu bana.
Wengi tunataka Katiba mpya ndiyo lakini hii style yako inakera sana na sidhani Mbowe ni mjinga mtu kama wewe ukaja kupata kupata cheo ndani ya CHADEMA usipoangalia kila siku wewe utakuwa mtu wa matatizo tu.
Huyu akibabatizwa kesi ya kumuua Magufuli na kupanga kumuua Hassan atakataa?
Acheni usenge, nyinyi mataga mmekakama mashoga kwa uwogaKwa jinsi ulivyo na matusi inadhihirisha kabisa wewe ni choko maana hiyo ndio kawaida yenu
Hakika huyu kijana anahitaji kufundwa.Tumekuonea huruma sana uliyopitia na hata wengi nje ya nchi wanajua masahaibu yako ila una lugha zenye ukakasi sana sijui unataka kuwaiga kina Khery James au kina Kihongosi?
Ushasikia kina Mwaipaya au Pambalu wa BAVICHA wakitumia lugha yenye ukakasi kama yako? I think haiatakuchukua hata week utaanza kumtusi kama Rais Samia, jiheshimu bana.
Wengi tunataka Katiba mpya ndiyo lakini hii style yako inakera sana na sidhani Mbowe ni mjinga mtu kama wewe ukaja kupata kupata cheo ndani ya CHADEMA usipoangalia kila siku wewe utakuwa mtu wa matatizo tu.
Kwani yeye ndo wakwanza kuzeekea jela
Kamnyoa Magufuli vipi, lini, wapi?Waafrica mmejaa unafiki na ujinga mwingi. Kwani kusema "wembe alioutumia kumnyolea Magufuli ndio atakaoutumia kumnyolea Samia " shida ni Nini ?
Sheria ipi inabainisha Hilo ni kosa?
Kama yesu au Mohammed walikuwa wanakosolewa sembuse samia
Mkuu tusiendekeze ujinga, cdm ni bora sana katika kulea vijana na kuwa bora kabisa.Wala sioni tatizo hiyo ndio freedom of speech inayolindwa na Katiba ya Zamani
Siku dingi yako akijakupotea usijetuletea matangazo humu maana kawaida ya udictator huwa hauchaguiThis time sio jela tena hamtomuona kabisa
Hata wewe Kuna mda utafika hautaonekana Tena, au unazan utaish mileleThis time sio jela tena hamtomuona kabisa
Mkuu hata mimi ambaye sio CCM siungi mkono siasa za kitoto hizi, huyu ndg yetu afundwe awe na ushawishi na sio lugha tataWewe pimbi nani uliemuonea huruma? Nyinyi ndio mliokua mkipiga kelele asitoke, lugha za ukakasi ndio zinakunyima usingizi? Kama kavunja sheria peleka mashtaka mahakamani sio kutupigia kelele humu