imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Hizo ni ghadhabu za Umma unapoiba Uchaguzi unapobambika Kesi unapoua Wananchikile chama kina watu wa aina zote, kikubwa ujue kuitukana ccm na viongozi wake tu,hayo mengine mbele kwa mbele.
Mungu ametuzawadia midomo fanya HAKI uone kama utaendelea kutukanwa.