STRUGGLE MAN
JF-Expert Member
- May 31, 2018
- 8,633
- 16,586
Hivi mliwahi kukemea na kuwambia akina bashiru na sukumagang kutumia lugha ya staha au ni kwa upimzani tu?Acheni kumdaganya mdude ajifunnze siasa za lugha ya staha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi mliwahi kukemea na kuwambia akina bashiru na sukumagang kutumia lugha ya staha au ni kwa upimzani tu?Acheni kumdaganya mdude ajifunnze siasa za lugha ya staha
Kwa jibu lako nawe akili zako Ni za mashakaDooh..
Huyu jamaa alimnyoa vipi fashisti jiwe wakati alisweka ndani na kushindwa kufurukuta hadi Mama alipoingilia?
Hawa wapinzani ni kweli hawana akili muda mwingine.
Mkuu hawa mataga waajabu sana aiseee [emoji23]Swali langu je Jemadari Mdude alishawahi kufikishwa Mahakamani kwa kosa la kumtukana Mwananchi yeyote? au kutukana sio kosa la jinai? tokea lini hukumu ya kutukana inakawa ni kutekwa na kubambikiwa kesi? Naomba majibu tafadhali usitoke nje ya Mada.
Huyu Kijana atakuwa soo unpopular/ jamii itamchukulia kama mhuni tu sasa mana kiongozi mwenyewe saivi licha ya uRais ni Mama.,tena mstaarabu mnooTena katolewa kwa huruma tu huyu angeozea jela
Bashiru alitukana Nini hafu usipende kushindana na wenye nguvu utapoteaHivi mliwahi kukemea na kuwambia akina bashiru na sukumagang kutumia lugha ya staha au ni kwa upimzani tu?
Mimi ni mshabiki, sio mwanachama, wa chadema na miaka ya nyuma tawi la chadema lilifunguliw nyumbani kwetu na mzee Brown Ngwilulupi akiwa makamu wa chama enzi hizo.Hio inaonyeshea jinsi gani mataga mlivyokuwa waoga
Mkuu unakosea kumfananisha Mandela na hili gimbi. Mandela alikuwa anatukana watu na kufokafoka kama huyu? Tena yeye alikuwa anapambana na ubaguzi ila kwa hoja za kujenga.Hata mandela angekuwa muoga kama wewe S.A isingepata uhuru watu kama mdude wasipokuwepo CCM itatawala milele daima na kufanya ujinga wa kila aina
Huyu hajielewi tu na hajajifunza hata wakosoaji kwa mama wanaonekana Wanaonekana hawana jipya. To me mama Samia Yuko fair na kawa treat well Sasa wanamuona mama hamnazo kuwa fair Wana mpandishia mabega tu bila sababu. Kweli mdude ajiheshimu Sana na ajifunnze aache utukutu. Ukosoaji wa mama na JPM ni tofauti kabisaHuyu Kijana atakuwa soo unpopular/ jamii itamchukulia kama mhuni tu sasa mana kiongozi mwenyewe saivi licha ya uRais ni Mama.,tena mstaarabu mnoo
na Mama kitamaduni hajibiwi ovyo..ana hadhi ya juu zaidi hata kuliko Baba
angejiposition vizuri kwa ajili ya badae kama anapenda kudumu kwenye siasa
Vingi vitoto tu, vinafuata mawazo ya wenzao.[emoji23][emoji23][emoji23] hawa mataga mm huwa wananishangaza sana kwakweli
Aaaaa ok kumbe mnajielewa kuwa nyinyi ndio mnaovunja sheria alaf mtu akiongea ukweli mnapanik na kupiga watu risasi na kutia watu kwenye viroba, sasa mnalazimisha watu wakae kimya wakati nyinyi ni magaidi wakubwaBashiru alitukana Nini hafu usipende kushindana na wenye nguvu utapotea
Hafu huyu mdude anafanya hata wanao mchangia hela waonekane wajinga.Mkuu unakosea kumfananisha Mandela na hili gimbi. Mandela alikuwa anatukana watu na kufokafoka kama huyu? Tena yeye alikuwa anapambana na ubaguzi ila kwa hoja za kujenga.
Mandela alikuwa anafanya movements na organization kwa watu. Hata alipopata urais hakung'ang'ania kubaki wala hakutumia ubabe.
Kupambania nchi sio kama kuimba singeli kwamba unabwabwaja tu bila hoja wala logic. Sasa ukimuuliza huo wembe aliomnyolea Magu ni upi wakati katolewa juzi na serikali ya SSH akiwa hana hata hela ya kununulia boksa. Mkiambiwa ukweli mnakimbilia kichaka chenu cha MATAGA
Wapinzani hata ujitahidi kuwafurahisha watakutapikia tu,JK alikuwa rais muungwana sana, wakamwita rais dhaifu.[emoji16][emoji16]mama hakujua huyu jamaa hana adabu,akadhani alionewa.
Mimi nimekemea MATAGA wanapotumia lugha kali na za uongo au zilizo vague.Mkuu kwani ww ni mgeni wa siasa, lugha inayotumika kwenye siasa huwa unaitafsiri vipi, kwani mliwahi kukemea pale viongozi wa mataga walivyokua wakitumia lugha kali kuliko hizo? Siasa inamambo mengi sana na kila mmoja anatafsiri kivyake
Nani katia watu kwenye viroba, lugha nzuri na ya staha huwa ni Jambo jema kwanini uige wengine kutukana hovyo, hyo inafanya CDM waonekane ni wahuni na wavuta bangi.Aaaaa ok kumbe mnajielewa kuwa nyinyi ndio mnaovunja sheria alaf mtu akiongea ukweli mnapanik na kupiga watu risasi na kutia watu kwenye viroba, sasa mnalazimisha watu wakae kimya wakati nyinyi ni magaidi wakubwa
Aozee jela kwa makosa gani wakati mahakama imemkuta hana hatia? kumbe mnapenda udikteta bila kujua halafu kesho tena mnaanza kulia hamtaki udikteta!.Tena katolewa kwa huruma tu huyu angeozea jela
"Unlike the brain the stomach will alert you when is empty"Mkuu unakosea kumfananisha Mandela na hili gimbi. Mandela alikuwa anatukana watu na kufokafoka kama huyu? Tena yeye alikuwa anapambana na ubaguzi ila kwa hoja za kujenga.
Mandela alikuwa anafanya movements na organization kwa watu. Hata alipopata urais hakung'ang'ania kubaki wala hakutumia ubabe.
Kupambania nchi sio kama kuimba singeli kwamba unabwabwaja tu bila hoja wala logic. Sasa ukimuuliza huo wembe aliomnyolea Magu ni upi wakati katolewa juzi na serikali ya SSH akiwa hana hata hela ya kununulia boksa. Mkiambiwa ukweli mnakimbilia kichaka chenu cha MATAGA
Halafu ustaarabu wa jk ukawafanya waombe Raisi design ya magu, magu kuja kuwanyoosha wakawa wanalia lia hovyo. Bavicha ilikuwa enzi za heche na sio huu utopoloWapinzani hata ujitahidi kuwafurahisha watakutapikia tu,JK alikuwa rais muungwana sana, wakamwita rais dhaifu.
Mama aangalie Hawa watu hawanaga shukurani.