Mdude Nyagali, siasa zako sio nzuri. Jirekebishe

Mdude Nyagali, siasa zako sio nzuri. Jirekebishe

sitoki nje ya mada,nataka kichwa chako kikae sawa kama binaadamu mtu mzima.

kama alikutwa na madawa ya kulevya bila kujali ni ya kwake au kawekewa,kwanini amechiwa!!!
Rufaa iko wazi, na huu uzi unasema "Mdude grow up, siasa zako za kishamba" sasa Mdude kuuza Madawa ya kulevya wewe unafikiri ni Siasa za kishamba?
 
[emoji23][emoji23]..Jiwe ana brand names kibao mkuu,so don't get twisted.
[emoji23]sijuu alipokuwa akisoma humu alijisikiaje, mwenzake Idd amin aliwapigia simu waandaaji wa filamu yake na kuwapongeza
 
They can do better, inawezekana long term strategy za opposition zilikuwa based on the existence of Magufuli, the opposition needed Magufuli more than the ruling party katika hiki kipindi hiki (2020 - 2025).

Magufuli was poor kwenye propaganda za kuonyesha utawala wake ni wa kidemokrasia, aliwapa wapinzani justification ya "rafu" nyingi walizokuwa wakilalamikia, huenda aliwafundisha hata watu wengi mapungufu ya katiba iliyopo na umuhimu wa kumpunguzia Rais mamlaka.

With Samia uwanja wa siasa umebadilika, as much as anaweza kuwa anafanya yale yale au hata akaja kuwakandamiza upinzani zaidi lakini ni mtulivu na makini zaidi kwenye maneno matamu yanayompa "sifa" sio ndani tu ya nchi hata katika vyombo vya kimataifa, hata upinzani waliingia mkenge na kuanza kumsifia. Upinzani umeshituka wakiendelea hivyo wanaweza kupoteza relevancy, ndio maana wameamua kuwa aggressive na ishu ya katiba mpya, na huo ndio mtihani alionao Rais kwa sasa kama atataka kuendelea kuonekana ni mtenda haki ni jinsi atakavyojibu madai hayo ya katiba mpya.

Mdude hajamnyoa yoyote, hata huo wembe hana, anajaribu kupata relevancy kama mwanasiasa.
Samia anarudi kwa Magufi kuwapa wapinzani relevancy kwa kuendelea kukataa mikutano ya siasa nje ya majimbo.

Kwenye katiba mpya I can sympathize with her more, si jambo la kufanya mara moja.

Watu wa CHADEMA inabidi wampange Mdude.

Inaonekana akili yake ndogo ile ile iliyomfanya awe catfished na a common whore inamfanya alete propaganda za uongo kwamba kamnyoa mtu wakati hata akipewa wembe hajui kuushika na most likely atajikata na kujiumiza mwenyewe.
 
Kosa la huyu kijana ni lipi Cariha mpenzi? Sidhani kama kuna tusi katika maandishi yake. Shida kubwa ni jamii yetu ambayo imejengwa katika misingi ya uoga na viongozi wetu miungu watu ambao hawaguswi!!! Pole Mdude, upo sahihi lakini kwa jamii isiyo sahihi.
Sasa hivi wakimkamata wamfunge maisha kijana Hana busara huyu hafu eti husoma na biblia kabisa. Mdude ajifunnze na aache ujinga Tena amshukuru mama ingekuwa jiwe angeozea jela
 
Tumekuonea huruma sana uliyopitia na hata wengi nje ya nchi wanajua masahaibu yako ila una lugha zenye ukakasi sana sijui unataka kuwaiga kina Khery James au kina Kihongosi?

Ushasikia kina Mwaipaya au Pambalu wa BAVICHA wakitumia lugha yenye ukakasi kama yako? I think haiatakuchukua hata week utaanza kumtusi kama Rais Samia, jiheshimu bana.

Wengi tunataka Katiba mpya ndiyo lakini hii style yako inakera sana

View attachment 1837535
Umeandika vizuri sana mkuu.
 
Kosa la huyu kijana ni lipi Cariha mpenzi? Sidhani kama kuna tusi katika maandishi yake. Shida kubwa ni jamii yetu ambayo imejengwa katika misingi ya uoga na viongozi wetu miungu watu ambao hawaguswi!!! Pole Mdude, upo sahihi lakini kwa jamii isiyo sahihi.
Mdude hutumia lugha isiyo na staha, Sasa atamnyoa mama kwa lipi maana kipindi Cha mwendazake lugha yake haikuwa ya staha, vepe mama ange nyuti afie jela Moja kwa moja
 
Tumekuonea huruma sana uliyopitia na hata wengi nje ya nchi wanajua masahaibu yako ila una lugha zenye ukakasi sana sijui unataka kuwaiga kina Khery James au kina Kihongosi?

Ushasikia kina Mwaipaya au Pambalu wa BAVICHA wakitumia lugha yenye ukakasi kama yako? I think haiatakuchukua hata week utaanza kumtusi kama Rais Samia, jiheshimu bana.

Wengi tunataka Katiba mpya ndiyo lakini hii style yako inakera sana

View attachment 1837535
Ushauri mzuri.
 
Sweka ndani huyo mdude sijui mdudu inawezekana hapendi uhuru aliopewa
 
Sasa ww utaamini vp kama ccm wanaiba kura wakati taari akili yako inaamini upinzani haiwezi kushinda hata mbunge mmoja ?
Kwanza kabisa, sitaki kuamini, nataka kujua. Unaelewa tofauti?

Pili, wapi unatoa hii dhana kwamba akili yangu inaamini upinzani hauwezi kushinda hata mbunge mmoja?

Unajua kusoma kwa ufahamu?

Tatu, Mdude kamnyoa nani, lini wapi, kivipi?
 
Maoni ya Rais Kikwete akaongea na Balozi wa Marekani ofisini kwake.

“We do not harbor any illusions about a broad basis of support between our two parties supporters, which I think animated some of the approach back then.

We view the forthcoming meeting with Mbowe and indeed opposition Party leaders as an important tool to manage what has always been a persistently difficult relationship.”
 
Magufuli amekuwa madarakani mpaka alipofariki.

Sasa Mdude kamnyoa vipi Magufuli?

Mdude hakumshinda Magufuli katika uchaguzi. Hakumshinda mahakamani.

Kitu pekee ambacho kimantiki Mdude anaweza kudai kwamba kamnyoa Magufuli ni kama Mdude kashiriki katika njama za kumuua Magufuli na kafanikiwa.

Ndiyo hapo swali la kuuliza kama Mdude kamuua Magufuli linakuja.

Kwa sababu, kama hajamuua, kamnyoaje?
Hahaha kwenye logical reasoning hii BAVICHA hutawaona
 
Mdude hayuko sawa kichwani
Tumekuonea huruma sana uliyopitia na hata wengi nje ya nchi wanajua masahaibu yako ila una lugha zenye ukakasi sana sijui unataka kuwaiga kina Khery James au kina Kihongosi?

Ushasikia kina Mwaipaya au Pambalu wa BAVICHA wakitumia lugha yenye ukakasi kama yako? I think haiatakuchukua hata week utaanza kumtusi kama Rais Samia, jiheshimu bana.

Wengi tunataka Katiba mpya ndiyo lakini hii style yako inakera sana

View attachment 1837535

Kwa mtu aliyechagua njia yake ya mafanikio iwe ni kupitia kwenye siasa huwa anachunga sana matendo na maneno anayotoa hadharani... iwe ni kwa hasimu wake au swahiba yake.

Vinginevyo kama ile hospitali pale dodoma bado ipo wamsaidie Mdude maana hayuko sawa kichwani
 
Sasa hivi wakimkamata wamfunge maisha kijana Hana busara huyu hafu eti husoma na biblia kabisa. Mdude ajifunnze na aache ujinga Tena amshukuru mama ingekuwa jiwe angeozea jela
Kweli kazidi, hata wewe umeona mamito
 
Magufuli amekuwa madarakani mpaka alipofariki.

Sasa Mdude kamnyoa vipi Magufuli?

Mdude hakumshinda Magufuli katika uchaguzi. Hakumshinda mahakamani.

Kitu pekee ambacho kimantiki Mdude anaweza kudai kwamba kamnyoa Magufuli ni kama Mdude kashiriki katika njama za kumuua Magufuli na kafanikiwa.

Ndiyo hapo swali la kuuliza kama Mdude kamuua Magufuli linakuja.

Kwa sababu, kama hajamuua, kamnyoaje?

Respect kwako Kiranga💪
 
Tumekuonea huruma sana uliyopitia na hata wengi nje ya nchi wanajua masahaibu yako ila una lugha zenye ukakasi sana sijui unataka kuwaiga kina Khery James au kina Kihongosi?

Ushasikia kina Mwaipaya au Pambalu wa BAVICHA wakitumia lugha yenye ukakasi kama yako? I think haiatakuchukua hata week utaanza kumtusi kama Rais Samia, jiheshimu bana.

Wengi tunataka Katiba mpya ndiyo lakini hii style yako inakera sana

View attachment 1837535
Hii ni wasifu ambao uswahili tunaita "Kizalia". Huwezi kumbadilisha huyu zaidi ya kumvumilia kwa yanayovumilika.
 
Back
Top Bottom