Akina mbowe wanafurahi kupata Vijana Kama hawa ,halafu ndo role model wa bavicha tanzaniaNilijua ana akili hata kidogo kumbe hana lugha ya staha arudishwe jela tena akili imkae sawa anajiona mpambanaji sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akina mbowe wanafurahi kupata Vijana Kama hawa ,halafu ndo role model wa bavicha tanzaniaNilijua ana akili hata kidogo kumbe hana lugha ya staha arudishwe jela tena akili imkae sawa anajiona mpambanaji sana
Jamaa anamaanisha yeye bado yu hai lakini alienyolewa tayari hayupo duniani hivyo wa sasa ahiangalie asitende kama mtangulizi wake aje anyolewe.Tujadili hoja yake kwa utulivu kama imebeba ukweli au ni bangi fulani tu inasumbua.
Wembe anaojinasibu kumnyolea bwana yule ni upi na athari zake kwa bwana yule ni zipi hadi amtishe mrithi wa mikoba?
Walio karibu na Nyagali watoe majibu
mkishitakiwa kelele mkiachiwa kelele ni bora mfungwe tu.Wewe lini ulimuonea huruma? Nyinyi ndio mliokua mkipiga kelele asitoke, lugha za ukakasi ndio zinakunyima usingizi? Kama kavunja sheria peleka mashtaka mahakamani sio kutupigia kelele humu
Unakosea sana; wapi imetamkwa kua ametolewa kwa huruma? sema kilichotamkwa na majaji huko mahakamani siyo kupotosha jamii.eti wembe uliotumika kwa mtangulizi, hahahahahahahaha, kuna watu wanaaminishana ujinga sana aisee...wakati umekaa jela zaidi ya miaka 2 leo umetoka kwa huruma ( wanasema eti umeshinda kesi kwenye katiba hii hii wanayosema ni mbovu)...juzi hapa akina Malisa kule JF walipitisha mchango kumsaidia maisha halafu eti leo anajiona kashinda booonge la vita...
Hahahaaa basi jamaa ni noma na kweli mrithi amsikilize vyena bwana NyagaliJamaa anamaanisha yeye bado yu hai lakini alienyolewa tayari hayupo duniani hivyo wa sasa ahiangalie asitende kama mtangulizi wake aje anyolewe.
Mimi si mshabiki wa Magufuli, na wengi wanajua hili.Respect kwako Kiranga[emoji123]
Alaf yakikamatwa mabox ya kura fake day za uchaguzi , mkiuwa na kutia watu kwenye viroba ,mkifilisi watu na kuwaweka ndani mnahisi kuwa uchafu mnaoufanya hautokua na effect ? Msifanye watu ni wapumbavu siku hizi, ukifanya kosa lazima uambiwe ukweliPumbavu kabisa mkishitakiwa kelele mkiachiwa kelele ni bora mfungwe tu.
Mnashauriwa mnaleta usera mavi
Mimi si mshabiki wa Magufuli, na wengi wanajua hili.
Ila ni mshabiki wa ukweli.
Mdude kamnyoa nani, lini, wapi, kivipi?
Tusije kulishwa matango pori kwa propaganda mbuzi za ushairi na ngonjera potofu ikawa tunakataa uzandiki wa CCM kwa kufuata uongo wa CHADEMA.
Maneno kama haya ndiyo yananifanya niseme matatizo yetu yamezidi vyama vya siasa.
Tuna matatizo ya utamaduni na elimu ambayo yanavuka mipaka ya vyama vya siasa. Yapo kotekote. CCM na upinzani.
Yani unapofikiri upinzani unaweza kubadilisha mambo, unakutana na vijana kama hawa wanaofikiri kupindapinda maneno tu ndiyo kitu kinachohitajika.
Mdude kababimbikiwa kesi ya madawa na mwanamke malaya, kijinga. Kakamatwa kama kuku wa mdondo.
Hana vetting mechanism. Yani hajui kuchuja kuona huu mtego. Akili yake ndogo, angalau kwenye hilo.
Kifupi, yeye ndiye kanyolewa. Kavuliwa nguo, both literally and metaphorically.
Sasa basi, watu wamemfanyia wepesi wamemsimamia kupiga kelele kwamba kesi kabambikiwa kwa sababu za kisiasa. Mpaka katoka.
Tunaambiwa mtu mzima ukivuliwa nguo, chutama ujisitiri dhakari na utupu wako. Watu wakufunuke wakusitiri zaidi usiaibike.
Mdude kavuliwa nguo.
Badala ya kuchutama ajisitiri, anakimbia uchi kijiji kizima akipiga kelele kamnyoa mtu aliyemchezea shere.
Wakati watu na akili zetu tunaona sio tu Mdude ndiye aliyenyolewa, bali pia, hata akipewa wembe amnyoe mtu atajikata mwenyewe kwa papara zake.
Wazaramo wamejisemea.
"Zilongwa mbali, zitendwa mbali. Sakala Kandumbwa."
Najua unasema "Translation pleasee!".
Maanqnyqke, kinachosemwa na kinachofanyika ni vitu viwili tofauti. Mjinga kadanganywa.
Yani mtu kanyolewa, halafu yeye ndiye anasema kanyoa watu.
Sasa huyu akisema kaibiwa kura tutajuaje kaibiwa kura kweli, na haendelezi tabia yake ya kupindua maneno tu?
CHADEMA inatakiwa kufundisha vijana cha kusema.
Mimi sina tatizo CHADEMA wakiisema CCM.
Lakini, waiseme kwa ukweli na kauli zisizo na ambiguity. Haya mambo ndiyo tunayakataa CCM.
Sasa chama mbadala nacho kikiturudisha kulekule, kutakuwa na haja gani ya kuitoa CCM?
[emoji23][emoji23],ina maana kazi kwake Mama sasa,jamaa yeye kashika wembe anasikilizia tuUshaambiwa akileta jeuri
Asipoleta jeuri jamaa hatomnyoa[emoji1]
Mwendazake alipokua anazungumzia mambo ya kupanua uku anakula mahindi alikua anamaanisha nini vile?
Yani mimi naanza kuelewa kabisa kwa nini amekuwa catfished na huyo mwanamke na kubambikiwa madawa.Sio issue ya ushabiki ila ni issue ya ukweli na uwezo wa kujua kipi cha kuongea in public
Mdude anachuma janga upya hapa
Na baadae alivyokua kilaza akawambia wabaki na mavi yao, hapo mataga walikaa kimya kwa sababu wanamuogopa alaf leo wanakuja kutupigia kelele kuhusu kunyolewa humu jf, hawa jamaa ni waajabu sanaMwendazake alipokua anazungumzia mambo ya kupanua uku anakula mahindi alikua anamaanisha nini vile?
Yeah Jamaa Yuko standby[emoji23][emoji23],ina maana kazi kwake Mama sasa,jamaa yeye kashika wembe anasikilizia tu
Watakachoweza kufanya ni kuongea tu na kuongea hakubadilishi kitu.Dogo akiendelea asijekulialia tena atapotezwa vilevile na hakuna kitu Chadema watafanya.