Sa 7 mchana
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 5,214
- 10,276
Mada Kama hizi pelekea jukwaa la siasa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuwe na kiasi hekima na busara
Mdude usijitengenezee uadui
Tumia akili za simba akiwa nyikani
Punguza maneno makali
Mungu hapendezwi na visasi
Una haki ya kudai haki lakini ukianza kutoa vitisho kumlenga mtu hautakuwa salama
Taratibu ndio mwendo
Wenzie wanamtumia ila yeye hajijui....wanamfanya kitoroli huku wao wakiishi na mwisho wa siku yakiwazidi wanalala mbele...
Tulia wewe chawa
ya kumbambikia kesi tena.Madawa ya kufanyaje tena hapa ??
Daaah.Vyama pinzani ni vizuri sana kwa maslahi ya taifa lakini Tanzania bado sana kuwa na upinzani wenye tija
Watanzania kupitia vyama pinzani vya cuf, chadema na act tujue tuu tunapotezewa nguvu na muda wa kudhania kuna upinzani
Siasa za hawa watu ni siasa za nje kutamu ndani kuzuri
Aisee! Watu mnajiamini sana aiseee!! Uraiani kuzuri rafiki yangu, usiombee ufike kule aisee!!Ni ivi : Kama akiendeleza wembe wa mfu wenu meko basi hatoacha kuambiwa ukweli
Sasa hapo kosa liko wapi, nyinyi mataga hii nchi msiifanye ya kwenu pekee, msituletee upuuzi wenu
Kwa hiyo wewe mdude Nyangali ni muuaji na unatishia kuua wengine?Tumekuonea huruma sana uliyopitia na hata wengi nje ya nchi wanajua masahaibu yako ila una lugha zenye ukakasi sana sijui unataka kuwaiga kina Khery James au kina Kihongosi?
Ushasikia kina Mwaipaya au Pambalu wa BAVICHA wakitumia lugha yenye ukakasi kama yako? I think haiatakuchukua hata week utaanza kumtusi kama Rais Samia, jiheshimu bana.
Wengi tunataka Katiba mpya ndiyo lakini hii style yako inakera sana
View attachment 1837535
Huo ukosoaji ulimuletea shida kwanini hajifunzi, this is Africa brother ona mateso aliyopata na isingekuwa huruma angepoteaAna haki ya kusema kikatiba na kama ingekuwa alichokuwa anakisema enzi za mwendazake ni kosa basi wangemshitaki kwa makosa hayo. Kwanini wakambambikia madawa kupitia yule msichana? Uhuru ukishatolewa hautakiwi tena kuwekewa mazonge kuwa nikosoe kwa staha na mtu akiona katika kutumia uhuru wa kujieleza amekashifiwa basi sheria iko wazi aende mahakamani kufungua madai. Kwanini hatuendi na katiba na sheria zetu badala ya kutumia hila kubambikia watu makosa ili kuwakomoa kwa kutumia haki yao waliyopewa na katiba.
Yeye dogo halijui hiloSerikali ina mkono mrefu,mikono mingine haipitii mahakamani na magereza, ni njia ya kizani
Ana safari ndefu anahitaji kubehave vizuri,sio anakuwa ka makonda ambao huwa wamevurugwaKweli kazidi, hata wewe umeona mamito
Hana adabu kabisa....Mdude kazidi ujinga aisee, hata jinsi alivokuwa ana mshambulia jiwe ni kwamba kakosa adabu kwa wakubwa wake.
Aache hyo tabia ana safari ndefu sanaHana adabu kabisa....
sio matured politician...