Mdude Nyagali, siasa zako sio nzuri. Jirekebishe

Mdude Nyagali, siasa zako sio nzuri. Jirekebishe

Mimi sina tatizo sana na kejeli.

Mimi nina tatizo na uongo.

Mdude kamnyoa nani, wapi, lini, kivipi?

The guy just got out of jail for being catfished by a common whore.

What is this shaving he is talking about?

The whore's pubic hair?

Mdude kavuliwa nguo, badala ya kuchutama watu wamfunike wamsitiri, anaanza kukimbia uchi kijiji kizima akipiga kelele.
Ni ushujaa-mavi tu unamsumbua huyu!

Anataka kuigiza kama Mandela fulani!
 
Ni ivi : Kama akiendeleza wembe wa mfu wenu meko basi hatoacha kuambiwa ukweli
Sasa hapo kosa liko wapi, nyinyi mataga hii nchi msiifanye ya kwenu pekee, msituletee upuuzi wenu

Kwahiyo wewe na Akili zako ndogo unaona ni sahihi kutumia kauli kama hiyo ,? Yeye mdude anasema atamnyoa aliyepo, atamnyoa kama nani ??
 
Kwahiyo wewe na Akili zako ndogo unaona ni sahihi kutumia kauli kama hiyo ,? Yeye mdude anasema atamnyoa aliyepo, atamnyoa kama nani ??
Ww acha uvivu wa kufkria ,kwani lugha ya atamnyoa umeitafairi vipi, inaonekana bado ni mgeni wa siasa
 
Habari za leo wakubwa na Vijana wenzangu

Niende kwenye maada moja kwa moja. Mimi ni Shabiki wa siasa za kistarabu na Kujengeana uwezo kupitia kukosoana kwa lugha nzuri na zenye staha ili kulindiana heshima.
Sasa ndugu zetu wa Chadema, Mna huyu kijana ambaye ametoka rumande juzi juzi baada ya kukalishwa mahabusu kwa siku takribani 357 ni kijana anayeonekana kuwa kama Akili yake haijakaa sawa sawa.
Leo nikiwa naperuzi kwenye mtandao wa Kijamii Twitter, nikakutana na hii kauli ya Jamaa huyu mdude imenukuliwa

“WEMBE niliotumia kumnyolea mtangulizi wake nitautumia kumnyolea yeye akiendelea kuleta Jeuri”

Mimi niwaombe viongozi wa CHADEMA Mmwambie huyu kijana alinde sana maneno yake asijekurudi alikotoka.

NI HAYO TU
Una madawa mengine?
 
Yule dogo masikio yamezidi kichwa, watamkaanga tena sio muda.

Ila mama akiwachekea hawa kima atavuna mabua.

Mbowe anamtishia mama eti hampi muda na wala hana muda wa kumpa.

Enzi za Magufuli usingesikia kauli za kidwanzi kama hizo. Magu ndio alikua anawwza watu wajinga.
 
Yani mimi naanza kuelewa kabisa kwa nini amekuwa catfished na huyo mwanamke na kubambikiwa madawa.

Inaonekana uwezo wake wa kuchambua aseme nini, afanye nini, wapi, kwa wakati gani, uwezo mzima wa kuchambua mambo, wafaransa wanaita "savoir faire", ni mdogo.

Na CHADEMA wanavyoshindwa kumpanga, hilo linaonekana kuwa si tatizo la Mdude tu.

Linaonekana ni tatizo la chama.

Sasa haya ndiyo matatizo tunayakimbia CCM. Tunataka upinzani utaotuvusha hapo.

Sasa chama mbadala nacho kinaturudisha kulekule jamani?

Whats the point of chama mbadala kama nacho kinarudi kwenye propaganda mbuzi?


Vyama pinzani ni vizuri sana kwa maslahi ya taifa lakini Tanzania bado sana kuwa na upinzani wenye tija

Watanzania kupitia vyama pinzani vya cuf, chadema na act tujue tuu tunapotezewa nguvu na muda wa kudhania kuna upinzani

Siasa za hawa watu ni siasa za nje kutamu ndani kuzuri
 
Hajifunzi huyu dogo mbona mama hatuna shida naye atapoteza relevance yake.
Ana haki ya kusema kikatiba na kama ingekuwa alichokuwa anakisema enzi za mwendazake ni kosa basi wangemshitaki kwa makosa hayo. Kwanini wakambambikia madawa kupitia yule msichana? Uhuru ukishatolewa hautakiwi tena kuwekewa mazonge kuwa nikosoe kwa staha na mtu akiona katika kutumia uhuru wa kujieleza amekashifiwa basi sheria iko wazi aende mahakamani kufungua madai. Kwanini hatuendi na katiba na sheria zetu badala ya kutumia hila kubambikia watu makosa ili kuwakomoa kwa kutumia haki yao waliyopewa na katiba.
 
Vyama pinzani ni vizuri sana kwa maslahi ya taifa lakini Tanzania bado sana kuwa na upinzani wenye tija

Watanzania kupitia vyama pinzani vya cuf, chadema na act tujue tuu tunapotezewa nguvu na muda wa kudhania kuna upinzani
Na ww unajiita mpinzani?[emoji23]
 
Yule dogo masikio yamezidi kichwa, watamkaanga tena sio muda.

Ila mama akiwachekea hawa kima atavuna mabua.

Mbowe anamtishia mama eti hampi muda na wala hana muda wa kumpa.

Enzi za Magufuli usingesikia kauli za kidwanzi kama hizo. Magu ndio alikua anawwza watu wajinga.

Watu wanajisahau sana yani, alfu wanatumia upole wa Huyu mama kama sehemu ya kupitisha agenda zao za kipuuzi.

Labda ngoja niseme tu, Kwenu nyinyi ndugu zetu wana CDM mnaweza mkaona kama Mama hasikii, ila kwa kauli zenu hizi mnaweza mkakosa hata hiyo fursa ya kujadili Katiba Mpya maana mmeanza kuvuka mipaka.
 
Nimeshangaa na kusikitika pia.... Amekuwa na kauli za ajabu ajabu mno....
 
Yule kijana apimwe akili vinginevyo tunaweza kumlaumu bure ila ukimuangalia saikolojia yake utagundua ana matatizo ya akili...

Mwambieni Dola ni kubwa, familia yake na yeye watateseka peke yao huku sisi tunayempigia makofi tukiwapa pole tu...
 
Back
Top Bottom