mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 31,415
- 38,761
wao pia wameruhusu.Samia anarudi kwa Magufi kuwapa wapinzani relevancy kwa kuendelea kukataa mikutano ya siasa nje ya majimbo.
Kwenye katiba mpya I can sympathize with her more, si jambo la kufanya mara moja.
Watu wa CHADEMA inabidi wampange Mdude.
Inaonekana akili yake ndogo ile ile iliyomfanya awe catfished na a common whore inamfanya alete propaganda za uongo kwamba kamnyoa mtu wakati hata akipewa wembe hajui kuushika na most likely atajikata na kujiumiza mwenyewe.
kitendo cha kuchukulia kama kutoka nje kwa mdude ni ushindi,bila kumwita na kumwelekeza njia bora impasayo ni tatizo hilo.