Mdude Nyagali, siasa zako sio nzuri. Jirekebishe

Mdude Nyagali, siasa zako sio nzuri. Jirekebishe

Samia anarudi kwa Magufi kuwapa wapinzani relevancy kwa kuendelea kukataa mikutano ya siasa nje ya majimbo.

Kwenye katiba mpya I can sympathize with her more, si jambo la kufanya mara moja.

Watu wa CHADEMA inabidi wampange Mdude.

Inaonekana akili yake ndogo ile ile iliyomfanya awe catfished na a common whore inamfanya alete propaganda za uongo kwamba kamnyoa mtu wakati hata akipewa wembe hajui kuushika na most likely atajikata na kujiumiza mwenyewe.
wao pia wameruhusu.

kitendo cha kuchukulia kama kutoka nje kwa mdude ni ushindi,bila kumwita na kumwelekeza njia bora impasayo ni tatizo hilo.
 
Kosa la huyu kijana ni lipi Cariha mpenzi? Sidhani kama kuna tusi katika maandishi yake. Shida kubwa ni jamii yetu ambayo imejengwa katika misingi ya uoga na viongozi wetu miungu watu ambao hawaguswi!!! Pole Mdude, upo sahihi lakini kwa jamii isiyo sahihi.
hata kama hajatukana,haya tuseme kamnyoa nani,kama anavyotaka kumnyoa samia!!

yaani dalili za kwamba hana muda na taulo aliyotupiwa ziko 100%.
 
hata yeye pia,rejea maneno yake kwa masoud.

ndio maana wengi wao walikuwa wanaumia sana,maana unamchokonoa mtu anakupuuza tu.
Ah ya masoud nimeikumbuka ile.jamaa alikuwa na uvumilivu sana.na kuna yule jamaa anajiita Gado, ni cartoonist alikuwa anamtania sana jiwe
 
Tumekuonea huruma sana uliyopitia na hata wengi nje ya nchi wanajua masahaibu yako ila una lugha zenye ukakasi sana sijui unataka kuwaiga kina Khery James au kina Kihongosi?

Ushasikia kina Mwaipaya au Pambalu wa BAVICHA wakitumia lugha yenye ukakasi kama yako? I think haiatakuchukua hata week utaanza kumtusi kama Rais Samia, jiheshimu bana.

Wengi tunataka Katiba mpya ndiyo lakini hii style yako inakera sana

View attachment 1837535
Huyu jamaa hata simuelewagi yaan!!
 
lugha za kipumbavu,ndio siasa za kishamba.

kuwa mpinzani sio tiketi ya kuongea mashudu 24hrs kwa watawala na viongozi,na hata wenzie kama hawamkemei na kuonyesha kusikitishwa ni washamba pia.
Kuwa na lugha za kishamba, hukumu yake ndio kutekwa na kubambikiwa Kesi ya Madawa ya kulevya?
 
wao pia wameruhusu.

kitendo cha kuchukulia kama kutoka nje kwa mdude ni ushindi,bila kumwita na kumwelekeza njia bora impasayo ni tatizo hilo.
Zaidi, chama ambacho kimeshindwa kupeleka wabunge bungeni kushangilia kunyoa watu ni upumbavu wa kiwango cha juu kabisa.
 
Ah ya masoud nimeikumbuka ile.jamaa alikuwa na uvumilivu sana.na kuna yule jamaa anajiita Gado, ni cartoonist alikuwa anamtania sana jiwe
imagine anakuja mlevi wa chang'aa anakwambia jamaa hakuwa anaruhusu mawazo ya wengine.
 
Tumekuonea huruma sana uliyopitia na hata wengi nje ya nchi wanajua masahaibu yako ila una lugha zenye ukakasi sana sijui unataka kuwaiga kina Khery James au kina Kihongosi?

Ushasikia kina Mwaipaya au Pambalu wa BAVICHA wakitumia lugha yenye ukakasi kama yako? I think haiatakuchukua hata week utaanza kumtusi kama Rais Samia, jiheshimu bana.

Wengi tunataka Katiba mpya ndiyo lakini hii style yako inakera sana

View attachment 1837535
Mnampaisha Bure huyu chizi

Mnamuacha anabwabwajaaaaa, miezi mitatu mingi anapoa

Msimpe kiki huyu chizi

Hana la maana
 
akifungwa mnasema kaonewa mitandao yote kelele lakini akikamatwa sabaya mnashangilia mnafurahia
 
Tumekuonea huruma sana uliyopitia na hata wengi nje ya nchi wanajua masahaibu yako ila una lugha zenye ukakasi sana sijui unataka kuwaiga kina Khery James au kina Kihongosi?

Ushasikia kina Mwaipaya au Pambalu wa BAVICHA wakitumia lugha yenye ukakasi kama yako? I think haiatakuchukua hata week utaanza kumtusi kama Rais Samia, jiheshimu bana.

Wengi tunataka Katiba mpya ndiyo lakini hii style yako inakera sana

View attachment 1837535
Labda mtanguizi katika jimbo jamani au mkaa na mkewe!! alaumiwe aliemlea au kumfunza lugha!! anatafuta nafasi apate ulaji
 
Bavicha mkae na huyo mdude.
Mkishindwa mmuache awe MDUDU WA DOLA.
Awe na mipaka kauli zake.
Sijapenda kabisa
Kwa kwel,kwanza angejiweka mbali na mtandao kwa muda kidogo,kaul zake abadilike aisee ,atakuja rudishwa jela aozee jela
 
Tumekuonea huruma sana uliyopitia na hata wengi nje ya nchi wanajua masahaibu yako ila una lugha zenye ukakasi sana sijui unataka kuwaiga kina Khery James au kina Kihongosi?

Ushasikia kina Mwaipaya au Pambalu wa BAVICHA wakitumia lugha yenye ukakasi kama yako? I think haiatakuchukua hata week utaanza kumtusi kama Rais Samia, jiheshimu bana.

Wengi tunataka Katiba mpya ndiyo lakini hii style yako inakera sana
View attachment 1837535
Hapa Mdude Nyangali anakiri kuwa ameshiriki uuaji na anatishia kuua tena , hili jambo lisiachwe likapita hivi hivi serikali isimung'unye manneno ifanyie kazi kadhia hii, wameanza kutajana , damu ya mtu haiendi bure
 
Hakuna matusi hapo sema ni lugha ya kiuanaharakati zaidi ndo imetumika kufikisha ujumbe
 
Back
Top Bottom