Kibukuasili
JF-Expert Member
- May 15, 2010
- 1,053
- 615
nikiendelea kukujibu tutafanana, naogopa 🤣Kwani Lipumba mwenye professor si alikua CUF damu na mbona baadae aligeuka na kuwa mnafiki, watz sisi kitu ukweli hatupendi kabisa
Unafkria kwa hivyo mlivyo watu kama nyinyi ndio ccm itatoa madaraka kuwakadhi? Dunia nzima hakuna sehem wanatoa haki kama hivyo