Mdude Nyagali, siasa zako sio nzuri. Jirekebishe

Mdude Nyagali, siasa zako sio nzuri. Jirekebishe

Mbowe hajaanza siasa wakati wa Magufuli.

Mbowe ni mtu aliyefanikiwa sana kisiasa na kiuchumi kwasababu anajua kuishi na mwenye nguvu.

..kwa hapa Tz wenye mamlaka au " nguvu " huwa hawa-deal na watu wasiokuwa na influence.

..wakati ambao Mbowe alikuwa hashughulikiwi, wenye mamlaka walikuwa wakishughulikia viongozi wengine wa upinzani kama Mrema, Maalim Seif, Lipumba, Juma Duni, Dr.Wilbrod Slaa, etc.

..kabla Chadema haijaanza kushughulikiwa, wenye mamlaka walikuwa wanashughulika na vyama vilivyokuwa na nguvu wakati huo kama NCCR, CUF, na UDP.

..Kabla ya Chadema kuwa wanapigiwa miruzi kuwa ni chama cha kikabila cha Wachagga, wenye mamlaka walikuwa wanakituhumu chama cha UDP kuwa cha kikabila cha Wasukuma.

..Ukiona mpinzani haandamwi na hapatwi na mabalaa hapa Tz ujue kwamba wenye mamlaka wanaamini mpinzani huyo hana madhara.
 
Ila kiukweli kwa hapa anakosea sasa jaman, afanye siasa za upinzani kistaarabu. Mbna rahisi sana.
 
..kwa hapa Tz wenye mamlaka au " nguvu " huwa hawa-deal na watu wasiokuwa na influence.

..wakati ambao Mbowe alikuwa hashughulikiwi, wenye mamlaka walikuwa wakishughulikia viongozi wengine wa upinzani kama Mrema, Maalim Seif, Lipumba, Juma Duni, Dr.Wilbrod Slaa, etc.

..kabla Chadema haijaanza kushughulikiwa, wenye mamlaka walikuwa wanashughulika na vyama vilivyokuwa na nguvu wakati huo kama NCCR, CUF, na UDP.

..Kabla ya Chadema kuwa wanapigiwa miruzi kuwa ni chama cha kikabila cha Wachagga, wenye mamlaka walikuwa wanakituhumu chama cha UDP kuwa cha kikabila cha Wasukuma.

..Ukiona mpinzani haandamwi na hapatwi na mabalaa hapa Tz ujue kwamba wenye mamlaka wanaamini mpinzani huyo hana madhara.
Kwahiyo hata CHADEMA wanavyomwandama Zitto na ACT ni kwamba wanaona ina madhara?
 
Mkuu hata sheria inakataza wewe kuingiliwa kinyume na maumbile, lakini tunajua unatafunwa.

Lakini sababu unaliwa sirini sio ishu kwa raha zako, ukianza kutangaza hadharani utapata tabu sana.
Yamekuwa haya tena? Kimeumanaaaaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwahiyo hata CHADEMA wanavyomwandama Zitto na ACT ni kwamba wanaona ina madhara?

..ccm hutumia propaganda, vyombo vya dola, na mahakama, kudhibiti mwanasiasa au chama chenye ushawishi.

..unakumbuka Dr.Slaa alivyokuwa akishambuliwa kuwa ameiba mke wa mtu, na yule bwana kufungua kesi mahakamani?

..hushangai kwamba kesi za " uzinzi " dhidi ya Dr.Slaa zimeisha tangu ajiondoe Chadema?

..hata Prof.Lipumba na Augustino Mrema nao waliundiwa kashfa za wanawake wakati walipokuwa wanaitishia CCM.
 
..ccm hutumia propaganda, vyombo vya dola, na mahakama, kudhibiti mwanasiasa au chama chenye ushawishi.

..unakumbuka Dr.Slaa alivyokuwa akishambuliwa kuwa ameiba mke wa mtu, na yule bwana kufungua kesi mahakamani?

..hushangai kwamba kesi za " uzinzi " dhidi ya Dr.Slaa zimeisha tangu ajiondoe Chadema?

..hata Prof.Lipumba na Augustino Mrema nao waliundiwa kashfa za wanawake wakati walipokuwa wanaitishia CCM.
Chadema wao hawatumii kashfa kudeal na wasiowapenda ?
 
Kwenye maslai ya taifa mfano katiba mpya ,hakuna Cha staha na habembelezwi mtu katiba ni haki ya wananchi watawaliwa, watawala wamepanga hawana Hati miliki ya NCHI hii ,that's twataka katiba ya kuwapa mamlaka wananchi maana taifa ni lao ,ingekuwa rais katukanwa kwenye kongamano la katiba ningetetea , ila Kama kinachaongelewa ni haki ya wananchi basi,NASEMA TWENDE KAMA KUPIGWA MARISASI SAWA ILIHALI KATIBA IPATIKANE , Nyie Chama gani mnaogopa KATIBA MPYA ?

KWA maneno mengine nyie MAFISADI mnaiba Sana uku mkisema hamna pesa ya kuongezea mishahara kwa watumishi wa umma, uku mkipaa na ndenge Sio kwa rais tafadhali , mmezidi Sasa mungu anasema atawanyoosha ni swala na mda , mmezidi , tunza ujumbe huu, Sio mie asema bwana.


KATIBA MSIPO ITOA MKIWA NA TABASAM MTAITOA MKIWA UZUNI KUU IKIWA JUU YENU ,ASEMA BWANA

huezi kutisha utawala mdogo wangu, hakuna kitu unaweza kuifanya serikali, kama unataka kutumia nguvu kwa namna hio ni lazima iwe wananchi wote sasa sio mmekosa kura mnaanzisha mchakato, so what? katiba mpya ni muhimu lakini mkiendelea ivo ivo mtaendelea kuidai mpaka sku prince nilan anakua raisi
 
Tumekuonea huruma sana uliyopitia na hata wengi nje ya nchi wanajua masahaibu yako ila una lugha zenye ukakasi sana sijui unataka kuwaiga kina Khery James au kina Kihongosi?

Ushasikia kina Mwaipaya au Pambalu wa BAVICHA wakitumia lugha yenye ukakasi kama yako? I think haiatakuchukua hata week utaanza kumtusi kama Rais Samia, jiheshimu bana.

Wengi tunataka Katiba mpya ndiyo lakini hii style yako inakera sana

View attachment 1837535

aendelee na kazi zake za ufundi simu tu
 
Chadema wao hawatumii kashfa kudeal na wasiowapenda ?

..chadema hawatumii vyombo vya dola au mahakama ku-deal na wasiowapenda.

..vyombo vya dola na mahakama havitakiwa kutumiwa na chama kimoja dhidi ya chama kingine.

NB.

..chadema wamewahi kutumia propaganda dhidi ya wanasiasa na vyama wasivyovipenda.
 
..chadema hawatumii vyombo vya dola au mahakama ku-deal na wasiowapenda.

..vyombo vya dola na mahakama havitakiwa kutumiwa na chama kimoja dhidi ya chama kingine.

NB.

..chadema wamewahi kutumia propaganda dhidi ya wanasiasa na vyama wasivyovipenda.
CHADEMA na CCM ni wale wale, wazee wa siasa chafu.

Chadema hawajapata tu access ya kutumia hivyo vyombo vya dola.
 
CHADEMA na CCM ni wale wale, wazee wa siasa chafu.

Chadema hawajapata tu access ya kutumia hivyo vyombo vya dola.

..natofautiana na wewe kidogo.

..ccm ndio wanaotumia vyombo vya dola na mahakama dhidi ya vyama vya upinzani.

..chadema wao hawajawahi kushika dola, bali wao ni victims / wahanga wa vyombo vya dola na mahakama zinazotumiwa vibaya na ccm.
 
Sasa hivi wakimkamata wamfunge maisha kijana Hana busara huyu hafu eti husoma na biblia kabisa. Mdude ajifunnze na aache ujinga Tena amshukuru mama ingekuwa jiwe angeozea jela
Mama yako amehusikaje na kesi ya mdude?nyie ndo mnasababisha wazazi wenu watukanwe kama mama yako alienda kuhusika huko leo hii watu wakijua wa ccm wakamdhuru utalaumu?so wote wanapenda mdude awe huru.na usipende kujikweza. Aje amshukuru mama yako kwa lipi?ndo alikuwa hakimu?hakutumia sheria alitumia huruma?kesho na baba yako naye akifanya kitu utakuja kusema flani amshukuru baba....nyie wabongo mnapenda sifa za kijinga sana
 
huezi kutisha utawala mdogo wangu, hakuna kitu unaweza kuifanya serikali, kama unataka kutumia nguvu kwa namna hio ni lazima iwe wananchi wote sasa sio mmekosa kura mnaanzisha mchakato, so what? katiba mpya ni muhimu lakini mkiendelea ivo ivo mtaendelea kuidai mpaka sku prince nilan anakua raisi
Kwanza unakosea mkuu niita mdogo wako futa kauli , Nina misingi Sana ya kimaisha kuliko nyie wateuliwa,

Pili elewa nguvu ya mungu ndo inaongea ,tawala gani imekua juu ya Mungu ? Mtafutika na kutuacha nakuonya mkuu japo hatujuani, mungu yote tuyafanyao kayaumba mwenyewe ,na yalikuepo na yatakuepo wewe ni nani huseme haya kwa kutisha tena KWA kibri

Sasa kabla sijakufuta KWA kibri Cha madaraka, maana umeandika kistarabu,nami nakuuliza katiba muhim au sio muhim, na Kama muhim why isiwe kipaumbale?

Naandika haya maana mmejiaminisha Sana , nyie ni kila kitu, elewa mbele za mungu wangu Alie up to date , ni mwepesi mno ,na mie sio mdogo wako , ukiendelea na kauli hizi,nakwambia utakipata utakacho TOKA KWA mwana wa kondoo , Mambo ya msingi unaleta mazalau, kisa tu upo na nafasi flani ambayo umepata na sio kwamba ulikua na akili nyingi kuliko vijana walioko mtaani , please ,
 
Wewe lini ulimuonea huruma? Nyinyi ndio mliokua mkipiga kelele asitoke, lugha za ukakasi ndio zinakunyima usingizi? Kama kavunja sheria peleka mashtaka mahakamani sio kutupigia kelele humu
Hapigi kelele, anauhuru was kutoa maoni yake bwana.
 
huezi kutisha utawala mdogo wangu, hakuna kitu unaweza kuifanya serikali, kama unataka kutumia nguvu kwa namna hio ni lazima iwe wananchi wote sasa sio mmekosa kura mnaanzisha mchakato, so what? katiba mpya ni muhimu lakini mkiendelea ivo ivo mtaendelea kuidai mpaka sku prince nilan anakua raisi
Kwamba huwezi tishia tawala, wao ni nani na mbele za mungu wao ni nani,mfano tawala ikiwa wao watabaki mile? Si waumiza mwili tu nani hatakufa


Binasi naaminin tangu mwanadam ametoka tumboni mwa ***** siku tarahe ya kufa kwake ilisha andikwa, afe vipi, mazingira yapi ,na hakuna kipya,wapo wasiojulikana watamteka mbatizaji 47 na watamua,ikitokea ndivyo alivyoandikiwa basi ,tusitishane hapa,kwamba serikali ,Iyo serikali ya nani, ? Nikitangulia nitawasubili kuwachapa viboko mmoja wa mwingine maana tutakua sawa hakuna Cha tiss Wala rais ,ni viboko tu maana wore tutakua twafanana
 
Watu mnaotetea upuuzi wa mdude mnakera sana. Kijana akikamatwa hakuna mtakachomsaidia zaidi ya kupost hashtag #freemdude. CHADEMA mlimtelekeza Mdude na kuanza kujitokeza baada ya kuona atatoka. Na kama ingekuwa ni uongozi wa JPM huyo mdude angeendelea kusota.
 
Dooh..

Huyu jamaa alimnyoa vipi fashisti jiwe wakati aliswekwa ndani na kushindwa kufurukuta hadi Mama alipoingilia?

Hawa wapinzani ni kweli hawana akili muda mwingine.
Sasa Mdude ndio think tank wa Chadema, hebu pata picha humo ndani ya chama kuna nini?
 
Back
Top Bottom