Los técnicos
JF-Expert Member
- Sep 14, 2014
- 3,012
- 2,637
Nadhani kama ni lugha chafu na za kijinai kuwatisha watu kuwaua hadharani basi ziko kwa UVCCMTumekuonea huruma sana uliyopitia na hata wengi nje ya nchi wanajua masahaibu yako ila una lugha zenye ukakasi sana sijui unataka kuwaiga kina Khery James au kina Kihongosi?
Ushasikia kina Mwaipaya au Pambalu wa BAVICHA wakitumia lugha yenye ukakasi kama yako? I think haiatakuchukua hata week utaanza kumtusi kama Rais Samia, jiheshimu bana.
Wengi tunataka Katiba mpya ndiyo lakini hii style yako inakera sana
View attachment 1837535
View attachment 1839252
Lakini midomo hii hii inayoyasema ya Mdude haijawahi hata siku moja kukemea ya UVCCM
Mnaanzisha mambo mnayakuza yakiwarudia mnaishi na kufa midomo wazi.
Pumbav sana
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app